Somo kwa CCM na Watanzania kwa ujumla

Somo kwa CCM na Watanzania kwa ujumla

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Pongezi tele ziwafikie Wakenya. Hakika kifikra mmetuzidi mbali sana sisi Watanzania.

Pole nyingi pia kwa majeruhi wote wa matumizi ya nguvu ya polisi, wale waliopoteza maisha, pamoja na wapendwa wao.

Tumeona jinsi ambavyo Wakenya wanatambua haki zao za kikatiba.

Maandamano waliyoyafanya na watakayoyafanya, si hisani ya William Ruto na chama chake.

Na ndo maana hujawasikia wakisema ‘Ruto karuhusu au kapiga marufuku’ maandamano.

Hawezi kufanya hivyo kwa sababu hiyo ni haki ya kikatiba ya Wakenya wote.

Hiyo haki inatolewa na katiba. Siyo William Ruto na watu wake.

Katiba yao inaruhusu watu kuandamana na kuipinga serikali yao au kupinga jambo jingine lolote lile.

Huku kwetu mara nyingi tumewasikia majuha wakisema ‘Samia karuhusu mikutano ya kisiasa’, karuhusu hiki na kile!

Huo ni uongo, ujinga, na ujuha uliopitiliza.

Haki za kikatiba si hisani ya Samia wala CCM.

Inavunja moyo sana kuona tunaongozwa na watu walio mbumbumbu.

Ila kinachosikitisha zaidi ni jinsi Watanzania walio wengi walivyo mambumbumbu, wajinga, waoga, na majuha!

Kenya ya leo Hakuna mtu mwenye akili timamu atayetoa kauli ya kwamba Rais Ruto karuhusu au kakataza maandamano!

Jana na leo Ruto kalaaniwa vibaya sana kwa kutaka kulitumia jeshi la Kenya dhidi ya Wakenya wanaotekeleza haki yao ya kikatiba.

Kila kona amelaaniwa.

Ili na sisi tuwe walau kama Wakenya, labda ni miaka 100 ijayo.

Heko kwenu majirani. Mmeufikisha ujumbe na Ruto kaupata na amekubali.


View: https://youtu.be/txbCv_K0lPA?si=aZUE20fuN-UxK1zB
 
Ni kweli wenzetu wapo mbali. Hata judiciary yao ipo vizuri, kuna "check and balance"

Hata hivyo sio kwamba viongozi wa TZ ni mbumbumbu au wajinga. Wanajua vizuri wanachokifanya ila wanajua wanaongoza wajinga na waoga. Ndo maana serikali ina magari ya kifahari mpaka kwa watu wadogo yaani taasisi zote mpaka vyuo vikuu, vyuo vya kati ni mwendo wa land cruiser. Yaani mtu mdogo kama DC anajitutumua na gari la 200m mpaka 350!!!
 
Pongezi tele ziwafikie Wakenya. Hakika kifikra mmetuzidi mbali sana sisi Watanzania.

Pole nyingi pia kwa majeruhi wote wa matumizi ya nguvu ya polisi, wale waliopoteza maisha, pamoja na wapendwa wao.

Tumeona jinsi ambavyo Wakenya wanatambua haki zao za kikatiba.

Maandamano waliyoyafanya na watakayoyafanya, si hisani ya William Ruto na chama chake.

Na ndo maana hujawasikia wakisema ‘Ruto karuhusu au kapiga marufuku’ maandamano.

Hawezi kufanya hivyo kwa sababu hiyo ni haki ya kikatiba ya Wakenya wote.

Hiyo haki inatolewa na katiba. Siyo William Ruto na watu wake.

Katiba yao inaruhusu watu kuandamana na kuipinga serikali yao au kupinga jambo jingine lolote lile.

Huku kwetu mara nyingi tumewasikia majuha wakisema ‘Samia karuhusu mikutano ya kisiasa’, karuhusu hiki na kile!

Huo ni uongo, ujinga, na ujuha uliopitiliza.

Haki za kikatiba si hisani ya Samia wala CCM.

Inavunja moyo sana kuona tunaongozwa na watu walio mbumbumbu.

Ila kinachosikitisha zaidi ni jinsi Watanzania walio wengi walivyo mambumbumbu, wajinga, waoga, na majuha!

Kenya ya leo Hakuna mtu mwenye akili timamu atayetoa kauli ya kwamba Rais Ruto karuhusu au kakataza maandamano!

Jana na leo Ruto kalaaniwa vibaya sana kwa kutaka kulitumia jeshi la Kenya dhidi ya Wakenya wanaotekeleza haki yao ya kikatiba.

Kila kona amelaaniwa.

Ili na sisi tuwe walau kama Wakenya, labda ni miaka 100 ijayo.

Heko kwenu majirani. Mmeufikisha ujumbe na Ruto kaupata na amekubali.


View: https://youtu.be/txbCv_K0lPA?si=aZUE20fuN-UxK1zB

Umenena vyema tanzania tumejaa wajinga na waoga.
 
Bravo Kenya 🇰🇪 mmeweza, R I P wote waliotangulia mbele za haki, wakipigania haki za Wakenya. Tanzania, Uganda, Rwanda tuna la kujifunza.

Wananchi ni wengi kuliko Serikali. Tukiamua tunaweza, kuwa na Serikali inayotumikia na kusikiliza wananchi. Na si wao kuwa kama Malkia/wafalme nasisi ni vijakazi wao No.

#kataamachawa
#kataachamachamambuzi
 
Pongezi tele ziwafikie Wakenya. Hakika kifikra mmetuzidi mbali sana sisi Watanzania.

Pole nyingi pia kwa majeruhi wote wa matumizi ya nguvu ya polisi, wale waliopoteza maisha, pamoja na wapendwa wao.

Tumeona jinsi ambavyo Wakenya wanatambua haki zao za kikatiba.

Maandamano waliyoyafanya na watakayoyafanya, si hisani ya William Ruto na chama chake.

Na ndo maana hujawasikia wakisema ‘Ruto karuhusu au kapiga marufuku’ maandamano.

Hawezi kufanya hivyo kwa sababu hiyo ni haki ya kikatiba ya Wakenya wote.

Hiyo haki inatolewa na katiba. Siyo William Ruto na watu wake.

Katiba yao inaruhusu watu kuandamana na kuipinga serikali yao au kupinga jambo jingine lolote lile.

Huku kwetu mara nyingi tumewasikia majuha wakisema ‘Samia karuhusu mikutano ya kisiasa’, karuhusu hiki na kile!

Huo ni uongo, ujinga, na ujuha uliopitiliza.

Haki za kikatiba si hisani ya Samia wala CCM.

Inavunja moyo sana kuona tunaongozwa na watu walio mbumbumbu.

Ila kinachosikitisha zaidi ni jinsi Watanzania walio wengi walivyo mambumbumbu, wajinga, waoga, na majuha!

Kenya ya leo Hakuna mtu mwenye akili timamu atayetoa kauli ya kwamba Rais Ruto karuhusu au kakataza maandamano!

Jana na leo Ruto kalaaniwa vibaya sana kwa kutaka kulitumia jeshi la Kenya dhidi ya Wakenya wanaotekeleza haki yao ya kikatiba.

Kila kona amelaaniwa.

Ili na sisi tuwe walau kama Wakenya, labda ni miaka 100 ijayo.

Heko kwenu majirani. Mmeufikisha ujumbe na Ruto kaupata na amekubali.


View: https://youtu.be/txbCv_K0lPA?si=aZUE20fuN-UxK1zB

Ni vema zaidi matumizi ya akili yakashika hatamu na sio matumizi ya hasira au maandamano, kwa upande wangu nadhani wakenya hawajafanya jambo baya lakini wamefanya kitu kulingana na mwisho wa upeo wao wa kufikiria ulipoishia, sishauri maandamano kama haya yatokee ndani ya Tanzania kwa sababu baba wa taifa alitupa njia ya kupambana na migogoro kama hii na kuandamana sio suluhu ya kile wanachokiita kuvunjwa kwa mswaada wa finance bill na sio ivyo tu Kenya ni nchi ya kidemokrasia na naamini William Ruto ni muelewa kwanini wasipropose mdahalo wa wawakilishi wa waanachi na rais ili kuona ni nini Ruto amekusudia na ni nn wananchi wa Kenya wanakitaka na kufikia muafaka na kutokuendelea na maandamano yanayosababisha hasara mbali mbali huko Kenya za kimiundombinu na hata kupoteza maisha na kujeruhiwa..nakemea kabisa matukio kama haya Tanzania na tusiyape mkono kabisa kwa sababu ni shetani wa chinichini atakayekuja kutuharibia Amani yetu.
 
Bravo Kenya 🇰🇪 mmeweza, R I P wote waliotangulia mbele za haki, wakipigania haki za Wakenya. Tanzania, Uganda, Rwanda tuna la kujifunza.

Wananchi ni wengi kuliko Serikali. Tukiamua tunaweza, kuwa na Serikali inayotumikia na kusikiliza wananchi. Na si wao kuwa kama Malkia/wafalme nasisi ni vijakazi wao No.

#kataamachawa
#kataachamachamambuzi
Watanzania tupo zaidi ya milioni 60!

JWTZ hawafiki hata 100,000.00.

Hawana bunduki, risasi, mizinga, wala mabomu yaliyo zaidi ya milioni 60.

I’ve always said, ni suala la kuamua tu.

Kwa umoja wetu tukiamua, hao JWTZ, FFU, polisi, na mgambo wote hawafui dafu.
 
CCM mnaweza Wala msikate tamaa na Hawa wafanya biashara wadogo wadogo
 
Back
Top Bottom