Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukitumia somo la historia, kama somo la kukupa mbinu za kupambana kimaisha, linaweza kukusaidia.
Ebu fikiria ukoloni ulivyoingia Afrika, kwa kutumwa wajumbe mbalimbali kuja kufanya utafiti na kuangalia namna ya kututawala pamoja na kumiliki mali zetu.
Na wengine kuuzwa kama mifugo ili kwenda kuwafanyia kazi wakoloni. Ile inatafsiri, ulimwengu tuliopo ili ufanikiwe lazime unyonyaji uwepo iwepo. Tajiri anamnyonya masikini ili awe tajiri zaidi.
Kwa elimu ya darasa la saba niliyonayo na mbobezi wa historia ya kina Vasco da gama, natumia historia kwenda huko kijijini ili kuwalaghai waniuzie nafaka, mifugo n.k kwa bei nafuu ili niwaletee mjini niwauzie kwa faida kubwa. Hii kitaalamu cha kihistoria, tunaiita 'exploitation'.
Hii ina maana, ukitumia somo la historia vizuri unaweza ukajiajiri n.k
Je, wewe unatumiaje somo la historia katika harakati zako za maisha?
Ebu fikiria ukoloni ulivyoingia Afrika, kwa kutumwa wajumbe mbalimbali kuja kufanya utafiti na kuangalia namna ya kututawala pamoja na kumiliki mali zetu.
Na wengine kuuzwa kama mifugo ili kwenda kuwafanyia kazi wakoloni. Ile inatafsiri, ulimwengu tuliopo ili ufanikiwe lazime unyonyaji uwepo iwepo. Tajiri anamnyonya masikini ili awe tajiri zaidi.
Kwa elimu ya darasa la saba niliyonayo na mbobezi wa historia ya kina Vasco da gama, natumia historia kwenda huko kijijini ili kuwalaghai waniuzie nafaka, mifugo n.k kwa bei nafuu ili niwaletee mjini niwauzie kwa faida kubwa. Hii kitaalamu cha kihistoria, tunaiita 'exploitation'.
Hii ina maana, ukitumia somo la historia vizuri unaweza ukajiajiri n.k
Je, wewe unatumiaje somo la historia katika harakati zako za maisha?