Somo la historia ulilosoma miaka ya nyuma, ukiwa shule ya msingi mpaka sekondari na wengine mpaka chuo; limekusaidiaje katika kujikimu kimaisha?

Somo la historia ulilosoma miaka ya nyuma, ukiwa shule ya msingi mpaka sekondari na wengine mpaka chuo; limekusaidiaje katika kujikimu kimaisha?

Kukuza uzalendo, kuendeleza pale wazazi walipoacha na matarajio ya mambo mengi yanayoendelea.
 
The only what? What does that past history contributed in development of our today's life?
Hakuna vitu vipya ni marudio na recycling wewe ukishangaa ukadhani ni kipya / jipya fahamu kwamba ni historia (past) ambayo wewe huifahamu... Ofcourse kuna vitu ambavyo vinagunduliwa hapa na pale ila theme / mtiririko na cause and effect ni zilezile tu, Ni kama hadithi ina mwanzo, katikati na mwisho...
 
The only what? What does that past history contributed in development of our today's life?
Hakuna vitu vipya ni marudio na recycling wewe ukishangaa ukadhani ni kipya / jipya fahamu kwamba ni historia (past) ambayo wewe huifahamu... Ofcourse kuna vitu ambavyo vinagunduliwa hapa na pale ila theme / mtiririko na cause and effect ni zilezile tu, Ni kama hadithi ina mwanzo, katikati na mwisho...
 
1. Divide and rule inasaidia sana kutawala waajiriwa wako.
2. Low wages imesaidia sana kuwafanya waajiriwa wawe tegemezi kwa mishahara uchwara hivyo wanaendelea kuchapa kazi
3.
 
Imesaidia wengi sana katika swala la utalii hasa maeneo ya historical sites au makumbusho nk
Achilia mbali katika kuajiriwa, ukiitumia vizuri historia, inaweza kukufanya jamii ikawa inakuzalishia wewe kwa bei nafuu na kukufanya wewe kuwa mtu mwenye mafanikio kibiashara.
Muhimu utumie mbinu zile zile au janja janja zile zile, walizotumia wakoloni.​
 
Kujua tulikuwa Baboons.

Historia Kama ilivyo vifurushi vya uongo vinavyosimulia vitu visivyokuwepo vikisimuliwa na mtu ambae hakuwepo.

Tungejua Historia yetu tusingeletewa Mungu mzungu Wala Mungu Mwarabu kwenye mabrifukesi

Kama yanayotokea Leo mengi yamejaa uongo , Je Historia ni mbaya kiasi gani ?
HIS+STORY.
Kumbuka kuna wengine wanatajirikia kwenye historia ya imani
 
The only what? What does that past history contributed in development of our today's life?
Binafsi niililichukia mno somo la historia na nilifurahi sana kupata F sekondari somo la Historia .Ile F siijutii kabisa

Somo la kijinga sana linamaliza Mb tu kichwani
Kutwa unasoma mambo ya marehemu ooh mara marehemu karl peters,mara marehemu Mangungo ,mara marehemu Mkwawa,mara marehemu Hitler utafikiri uko makaburini unasomewa wasifu wa marehemu toka kaburi hili kwenda lingine

Nafikiri history wanaotakiwa kusoma ni wale wasoma historia za marehemu misibani

Somo la kijinga sana
 
Ukitumia somo la historia, kama somo la kukupa mbinu za kupambana kimaisha, linaweza kukusaidia.

Ebu fikiria ukoloni ulivyoingia Afrika, kwa kutumwa wajumbe mbalimbali kuja kufanya utafiti na kuangalia namna ya kututawala pamoja na kumiliki mali zetu.

Na wengine kuuzwa kama mifugo ili kwenda kuwafanyia kazi wakoloni. Ile inatafsiri, ulimwengu tuliopo ili ufanikiwe lazime unyonyaji uwepo iwepo. Tajiri anamnyonya masikini ili awe tajiri zaidi.

Kwa elimu ya darasa la saba niliyonayo na mbobezi wa historia ya kina Vasco da gama, natumia historia kwenda huko kijijini ili kuwalaghai waniuzie nafaka, mifugo n.k kwa bei nafuu ili niwaletee mjini niwauzie kwa faida kubwa. Hii kitaalamu cha kihistoria, tunaiita 'exploitation'.

Hii ina maana, ukitumia somo la historia vizuri unaweza ukajiajiri n.k

Je, wewe unatumiaje somo la historia katika harakati zako za maisha?​

Wengine vitabu vya kihistoria viliwaaminisha kwamba waarabu walitesa mababu zao 😂😂😂 hicho ndicho walichokariri, kingine binadamu ametokana na Nyani hahaaaa, kweli walijua kuwaingiza kwenye 18
 
Back
Top Bottom