Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

[emoji120] [emoji115] [emoji111] [emoji817]
 
Kwa kwel ilifka time ile asubu kama mwanaume lazma penis ifany erection but kwangu ckua na ktu cha namna hyo n huwa iki erect ni dakika then inasinyaa but for now i am normal like others men
Nimekupata mkuu wangu
 

Mkuu Mwanadome, mitandao ikitumika kwa style hii hakika hata huyo anayetamani malaika washuke kuifungia atabadili mawazo yake. Tatizo linakuja pale inapotumika kwa style ile ya kubeza na kupinga kila kitu. Hapo ndipo inapofikia ya kusema "Not to that extent..."
Otherwise kwa namna hii mbona tunafaidika wengi sanaaa.
 
Msisahau kufanya na mazoezi jamani, mazoezi nayo ni tiba kubwa sana
 

Msisahau kufanya na mazoezi jamani, mazoezi nayo ni tiba kubwa sana
 
Shukrani mkuu,kwa dunia ya sasa na kizazi hikii ni ngumu sana kuwapangia watu ni cha kuandika kwenye hii mitandao ya kijamii.

Cha msingi kiongozi mwenye maono hu focus kwenye maono yake tuu,maana vitendo vitaongea na si kushinda mitandaoni kupambana na wanao kubeza.
 

Ni kweli kabisa unachosema lakini vingine visipokuwa monitored & controlled, huweza kuleta madhara sana na matokeo yake anayehusika na asiyehusika wanaathirika wote, halafu lawama zitamrudia yule yule.
Anyway kwa kuwa uzi huu unaongelea issue nyingine, ngoja tuiache hii topic for now. Barikiwa lakini
 
Jamani Nina tatizo la vitiligo nitumie nn naomba msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…