Somo la leo kutoka maandiko ya kitabu cha kitaa ule ukurasa

Somo la leo kutoka maandiko ya kitabu cha kitaa ule ukurasa

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Habari wote JF members,

Nimeona nifungue uzi kutoka uzi mmoja na huu ujitegemee.

Saivi watu wanaishi kwa bajeti kali no shopping kizembe zembe Tsh.10000 ndio buku 2000 ya 2015. Uhalisia uko hivo jero ishakuwa mia 200 afu malipo ya kazi ni yale yale. Daah walio ajiriwa kwa mishahara midogo daah ni maumivu.

Bora ujiajiri na mtaji wako. Kama unalipwa laki 2 kwa mwezi shuka chini kwa maisha ya sasa hivi, na umepanga, una familia au huna upo kwenye big risk ya kipato.

Nini kifanyike inaonekana pesa yetu ishaporomoka, chakufanya usikubali kufanya kazi kwa malipo kidogo.
Kwa sasa Tsh.10000 ni kipato kidogo kwa siku japo ndiyo ukomae angalau upate kwa wale wa hali ya chini.

kwa wenye familia wataelewa ila wasio hawataelewa hii maana. Ukiwa na usafiri inabidi upate siyo chini ya 17000 kwa siku.

Uko mwenyewe kibachela tuseme unapata 10000 kwa siku. Napiga bajeti za watu wengi wa hali za chini.
1500 chai
2500 chakula cha mchana.
3000 chakula cha usiku.
1000 vocha.

Umebakiwa na 2000 kwenye 10000 yako ya siku 2000×30siku=60,000.

Kodi ya mwezi chumba cha kibachela 50,000, 10000, umeme na maji jumla 60,000 yaani hapa ni noma sana.

Usafiri hapo bado, Bado hujanunua mahitaji mengine ya mwili, Bado hujavaa hajaenda disko cheza😆😅

Je, ukiwa na familia?

Je, utachumia tumbo tu mjini?

Tuwe tunatafakari vipato vyetu lakini daaah. Hata kama unasave 1000 kwa kujibana hutofika malengo.

Je, ni wangapi wanalipwa 10000. Kwa siku na wapo hali gani?

Nikisikia anayelipwa 4000 au 5000 kitaa nawaza sana analipaje kodi mjini.
 
watu kuna ambao wanatumia hadi laki kwa siku ndio dunia ilivyo ndugu , hakuna usawa wala uhalisia we si uliona lile jambo la mama kwa watumishi wa umma wa kibongo elfu 20 wengine 10 wengine hadi buku tano na bado wanasavaivu kibishi. Maisha ya mwanadamu yanaendana na anachopata ndio maana hata anayepata buku kwa siku wala hafi anaishi kama kawaida.
 
Una uhakika wa kupata 10000 kwa siku halafu chai 1500,mchana 2500 serious kabisa?...bachela mwenye kuingiza kiasi hicho Cha pesa kwa siku hawezi kufanya anasa ya msosi wa mchana wa 2500 hyo n pesa mingi sana, Cha kufanya ni kupambana kuingiza zaidi ya msimbazi mmoja kwa siku, Kwanza bachela wa buku kumi kwa siku tena anayejielewa yy hupika msosi geto kwake ambapo msosi hupikwa Mara moja tu kwa siku,hakai na nywele ndefu ili kupunguza kuisha kwa sabuni, hununua vitu kwa jumla tena machimbo ya bei rahisi, hana matumizi yasiyo ya lazima kwa maana ya kwamba Kama kukosa kitu fulani hakitamfanya afe basi anaachana nacho...hivyo ndivyo wenye financial difficulties huishi humo, na zaidi humuomba Sana mungu kwani mda wwte anapotea kutokana na kupigana na watu wanaomtaka kumpokonya hata kile kidogo alichonacho kiroho na kimwili.
 
Nilikuja mkoa huu nikiwa na kibegi changu mwaka jana mwezi wa 2 nikitokea mkoa flani ambao nilikuwa nahangaika na harakati hizohizo za utafutaji....kwasasa nimenunua vijiaseti vya thamani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani......wafukunyungu wamefukunyua mwisho wa siku wananiita taperi😂😂 ....kwamba natoa wapi pesa ya kumiliki vitu hivi? Na hali ya kuwa wao wamekaa muda mrefu mkoa huu na wameshindwa kumiliki vitu hivii..




...siri ya mtungi aijuae kata.......
 
Nilikuja mkoa huu nikiwa na kibegi changu mwaka jana mwezi wa 2 nikitokea mkoa flani ambao nilikuwa nahangaika na harakati hizohizo za utafutaji....kwasasa nimenunua vijiaseti vya thamani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani......wafukunyungu wamefukunyua mwisho wa siku wananiita taperi[emoji23][emoji23] ....kwamba natoa wapi pesa ya kumiliki vitu hivi? Na hali ya kuwa wao wamekaa muda mrefu mkoa huu na wameshindwa kumiliki vitu hivii..




...siri ya mtungi aijuae kata.......
Inaweza ikawa ni kweli kwa mienendo yako au watu ambao una ubia nao

Lisemwalo mara nyingi lipo kama halipo basi linakuja
 
watu kuna ambao wanatumia hadi laki kwa siku ndio dunia ilivyo ndugu , hakuna usawa wala uhalisia we si uliona lile jambo la mama kwa watumishi wa umma wa kibongo elfu 20 wengine 10 wengine hadi buku tano na bado wanasavaivu kibishi. Maisha ya mwanadamu yanaendana na anachopata ndio maana hata anayepata buku kwa siku wala hafi anaishi kama kawaida.
Life is not fair at all huu msemo una apply hapa, au ule wa kila mbuzi anakula kwa urefu wa kama yake.
 
Una uhakika wa kupata 10000 kwa siku halafu chai 1500,mchana 2500 serious kabisa?...bachela mwenye kuingiza kiasi hicho Cha pesa kwa siku hawezi kufanya anasa ya msosi wa mchana wa 2500 hyo n pesa mingi sana, Cha kufanya ni kupambana kuingiza zaidi ya msimbazi mmoja kwa siku, Kwanza bachela wa buku kumi kwa siku tena anayejielewa yy hupika msosi geto kwake ambapo msosi hupikwa Mara moja tu kwa siku,hakai na nywele ndefu ili kupunguza kuisha kwa sabuni, hununua vitu kwa jumla tena machimbo ya bei rahisi, hana matumizi yasiyo ya lazima kwa maana ya kwamba Kama kukosa kitu fulani hakitamfanya afe basi anaachana nacho...hivyo ndivyo wenye financial difficulties huishi humo, na zaidi humuomba Sana mungu kwani mda wwte anapotea kutokana na kupigana na watu wanaomtaka kumpokonya hata kile kidogo alichonacho kiroho na kimwili.
Sawa kabisa kiongozi ukirelax inakula kwako.
 
Back
Top Bottom