Somo laanza kumuingia CEO wa Simba, ataka clubs za Afrika kutumia makocha wa kiafrika

Somo laanza kumuingia CEO wa Simba, ataka clubs za Afrika kutumia makocha wa kiafrika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Opportunities ilitokea wazi kwa yule kocha toka Ghana, yule kocha toka Guinea wa Horoya, kama kawaida mkakimbilia wazungu

Zoran kalilia nafasi mbili kuingiza beki na foward kila mtu kaona aina ya usajili wake ni bora mara 100 angekuja Harvey ngomo wa cameroon kama beki

leo team iko stuck na Dejan utadhani afrika nzima hakuna strikers bada aya kumkosa manzoki,eiiiish

Sasa matola ana vigezo vya kukaa kwenye benchi la CAF? ikishindikana muombeni tu uchebe arudi au Gomez na yule kocha wa viungo mtunisia mrudisheni kwani shida ni nini ndugu zangu?


ceo.JPG
 
Simba iliwah pata makocha wazuri wale wawili kabla ya zolan lakini waliondolewa pasipo kujua tatzo lao,tatzo wawekezaji wa simba wanajitia ujuaji sana,sasa ndo tunaenda kupotea vizuri sasa

GSM hawacheki na kima
 
Simba iliwah pata makocha wazuri wale wawili kabla ya zolan lakini waliondolewa pasipo kujua tatzo lao,tatzo wawekezaji wa simba wanajitia ujuaji sana,sasa ndo tunaenda kupotea vizuri sasa

GSM hawacheki na kima
simba hata wakitangaza ajira za makocha hakuna kocha mweusi wa kiafrika mwenye uwezo atakaye apply wanajua udhaifu wao wa kubabaikia ngozi nyeupe.

Kwa sasa tunahitaji ngozi nyeusi ikae pale mbona kuna mkocha wengi tu wanamudu hizo mbanga na wanawez kutuletea ma strikers na ma DM ya maana toka huko west africa manaa scout ishakuwa tatizo mwaka mzima watu wameshindwa kuleta DM na striker what a shame
 
Timu ilishaanza kujitengenezea njia nzur sijui kimewapata nini usajili mbovu uchaguzi wa kocha shida tu mshabik ambae hana chet cha ukocha kwa kuangalia simba anajua shida ipo wap kuanzia nyuma kat mpaka mbele ,sijajua viongoz wanafeli nin msimu wa usajil ukifka wanasajili wachezaj weng makosa wanayoyafanya sasa hawatak kuangalia kusajili kwa kuangalia mapungufu kubwa zaid viwango vya wanaosajiliwa wengine bora ata walioachwa au waliowakuta ,mfano tukatae tukubal simba inaitaji mchezaj namba 3 au 2 wa nje ambae atacheza na kapombe ama zimbwe, eneo kuanzia namba sita ad nane bado wachezaj wake wa kuunga unga , pia hawana namba tisa wa uwakika ,, wangekua sahihi kama wanasajil wachezaj wachache ambao una uwakika wataingia kikosin moja kwa moja
 
Timu ilishaanza kujitengenezea njia nzur sijui kimewapata nini usajili mbovu uchaguzi wa kocha shida tu mshabik ambae hana chet...
kaomba kuondoka kwenda al itihad ya egypt, huyu alishapata wenge la kutakiwa kwenda nusu fainali
 
Kuna mambo ya kimpira, na mambo ya kibiashara. Yote yanaweza kwenda pamoja, lakini kila moja liko na nafasi yake ya umuhimu.

Barbara ni professional kwenye masuala ya kibiashara, haswa marketing. Ameikuza sana brand ya simba tangia awe CEO.

Kwa upande mwingine, Barbara sio mtu wa mpira. Hata haya anayohangaika nayo sasa hivi, nadhani kajipiga brashi tu juu juu baada ya kua CEO. Na hapa ndipo tatizo lilipo!

Mtu mwenye final say ya club, anatakiwa kuujua vizuri mpira kuanzia kwenye usajili mpaka team management. Huyu CEO wenu ni mzuri kwenye kubalance mapato na matumizi, ila kwa yanayoendelea uwanjani "she's unaware"!

Wekeni hapo mtu anaejua mpira, hasa soka la kiafrica ambalo linaambatana na mambo mengi mengine machafu yasiyoonekana uwanjani.

Wale akina Hersi wa yanga huwa tunasema ni wahuni na waswahili. Ni kweli, na ndio wanaosababisha Yanga inakua vizuri kwa sasa. Soka la kiafrica linahitaji uhuni mwingi, tofauti na hapo hautoboi!

Sasa endeleeni na msomi wenu muone atakapowafikisha!
 
Sajili nyingi ni mbovu
Wachezaji wengi washafikia mwisho wao
 
Former Wydad Casablanca head coach Zoran Manojlovic has reached an agreement with Egyptian side Itthad Alex SC to be their next head coach.

According to Filgoal, Serbian International Zoran Manojlovic has reached an agreement with the Egyptian side ahead of their League campaign after placing 12TH in the Egyptian League last season.

Tanzanian Club Simba FC is currently coached by 60-year-old coach Zoran. Zoran won the Algerian League, the Angolan League twice, and the Angolan Super Cup during his coaching career.

Last season, Al Ittihad of Alexandria finished 12th in the Egyptian Premier League table with 38 points.According to reports, the Serbian coach will be paid $30,000 per year.
 
Kwa hiyo kipindi tunachukua yale mengine yeye alikuwa muhuni km wavuta shisha wa GSM?
Acha porojo mzee shusha tikiti ukalale
Mkiitwa mbumbumbu mnalalamika. Team iliyofanya vizuri CAF imejengwa mapema kabla hajawekwa Barbara. Tumia hilo bichwa kufikiri, sio kubebea masikio!
 
Ukiondoa siasa, Gomez alikuwa kocha sana yule jamaa. Wenge la kutolewa mapema akafukuzwa.
Gomez hakuwa na sifa zinazotakiwa na Caf kukaa benchi kama head coach
 
Gomez hakuwa na sifa zinazotakiwa na Caf kukaa benchi kama head coach
alivyotoka simba baad ya week kadhaa alipata hizo credentials alikuwa anamalizia tu masomo yake, kwa dharura hii wamrudishe tu
 
simba hata wakitangaza ajira za makocha hakuna kocha mweusi wa kiafrika mwenye uwezo atakaye apply wanajua udhaifu wao wa kubabaikia ngozi nyeupe.

Kwa sasa tunahitaji ngozi nyeusi ikae pale mbona kuna mkocha wengi tu wanamudu hizo mbanga na wanawez kutuletea ma strikers na ma DM ya maana toka huko west africa manaa scout ishakuwa tatizo mwaka mzima watu wameshindwa kuleta DM na striker what a shame
Aliyekuambia kocha mwafrika lazima awe mweusi na nani?
 
Back
Top Bottom