njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
simba hata wakitangaza ajira za makocha hakuna kocha mweusi wa kiafrika mwenye uwezo atakaye apply wanajua udhaifu wao wa kubabaikia ngozi nyeupe.Simba iliwah pata makocha wazuri wale wawili kabla ya zolan lakini waliondolewa pasipo kujua tatzo lao,tatzo wawekezaji wa simba wanajitia ujuaji sana,sasa ndo tunaenda kupotea vizuri sasa
GSM hawacheki na kima
kaomba kuondoka kwenda al itihad ya egypt, huyu alishapata wenge la kutakiwa kwenda nusu fainaliTimu ilishaanza kujitengenezea njia nzur sijui kimewapata nini usajili mbovu uchaguzi wa kocha shida tu mshabik ambae hana chet...
[emoji16][emoji16][emoji16]Aasaramwareko.
Bwana Yesu asifiwe.
Mgufuri serema,,tanzania serema!,
Ndugu zangu nereteeni kuku kishingo,,,nureteeni kuku kishingo,,,nireteeni kuku kishingo.
Kwa hiyo kipindi tunachukua yale mengine yeye alikuwa muhuni km wavuta shisha wa GSM?Kuna mambo ya kimpira, na mambo ya kibiashara. Yote yanaweza kwenda pamoja, lakini kila moja liko na nafasi yake ya umuhimu...
Mkiitwa mbumbumbu mnalalamika. Team iliyofanya vizuri CAF imejengwa mapema kabla hajawekwa Barbara. Tumia hilo bichwa kufikiri, sio kubebea masikio!Kwa hiyo kipindi tunachukua yale mengine yeye alikuwa muhuni km wavuta shisha wa GSM?
Acha porojo mzee shusha tikiti ukalale
HaaahaaAasaramwareko.
Bwana Yesu asifiwe.
MAgufuri serema,,tanzania serema!,
Ndugu zangu nireteeni kuku kishingo,,,nireteeni kuku kishingo,,,nireteeni kuku kishingo.
Gomez hakuwa na sifa zinazotakiwa na Caf kukaa benchi kama head coachUkiondoa siasa, Gomez alikuwa kocha sana yule jamaa. Wenge la kutolewa mapema akafukuzwa.
alivyotoka simba baad ya week kadhaa alipata hizo credentials alikuwa anamalizia tu masomo yake, kwa dharura hii wamrudishe tuGomez hakuwa na sifa zinazotakiwa na Caf kukaa benchi kama head coach
Ndio sababu iliyofanya afukuzwe sio?!Gomez hakuwa na sifa zinazotakiwa na Caf kukaa benchi kama head coach
Aliyekuambia kocha mwafrika lazima awe mweusi na nani?simba hata wakitangaza ajira za makocha hakuna kocha mweusi wa kiafrika mwenye uwezo atakaye apply wanajua udhaifu wao wa kubabaikia ngozi nyeupe.
Kwa sasa tunahitaji ngozi nyeusi ikae pale mbona kuna mkocha wengi tu wanamudu hizo mbanga na wanawez kutuletea ma strikers na ma DM ya maana toka huko west africa manaa scout ishakuwa tatizo mwaka mzima watu wameshindwa kuleta DM na striker what a shame