1. Baada ya kuanguliwa , Chanjo ya Marek's na Dawa HVT, Namna: sindano
2. Siku ya 2 hadi 6 KINGA ya Pullorum, Dawa: Trimazine 30% plus Vitamin, Namna: Maji
3. Siku ya 7, Chanjo ya Mdondo/Kideri (Newcastle), Dawa: Newcastle vaccine [LASOTA] Namna: Maji
4. Siku ya 14, Chanjo ya Gumboro, Dawa: chanjo ya Gumboro, Namna: Maji
5. Siku ya 16 – 20, KINGA ya Koksidiosis (coccidiosis), Dawa: Trimazine 30% plus vitamin (Vitalyte itafaa), Namna: Maji
6. Siku ya 21, Chanjo ya Mdondo tena.. [Maelezo yapo kwa juu]
7. Siku ya 28 rudia chanjo ya gumboro,&Siku ya 30hadi 32, KINGA: kuimarisha kinga ya mwili, OTC 20% changanga na Amin'Total vitamin.
8. Siku ya 35 hadi 39 KINGA: Mafua, OTC 50% au CORDIX (ukiona kinyesi kina muharo kiasi) au Tylosine 75% changanya na Amin'Total.
9. Siku ya 56, Chanjo: Ndui. Hapa inabidi uangalie sasa kutokana na changamoto za magonjwa wape kati ya wiki ya 7 na kuendelea kutokana na kwamba ktk majumba yetu tuna kuku wakubwa na wadogo hivyo tafiti zinasema hivyo kwa sasa.
10. Siku ya 60 hadi 64 (Rudia namba 6 hapo juu)
11. Wiki ya 12 ( kati ya siku ya 64 hadi 70), Chanjo: Typhoid
12. Wiki ya 13 (kati ya siku 85 hadi 91), KINGA: minyoo
13. Wiki ya 15, Ukataji wa midomo
14. Wiki ya 16, KINGA ya kipindupindu, OTC 20 YA SINDANO, Sindano kwenye nyama ya kifua.
15. Wiki ya 17, KINGA ya mafua, Tylosine ya sindano, Sindano kwenye nyama ya kifua
16. Wiki ya 18, chajo ya Typhoid, Baada ya hapo, waache kuku.. Hakuna sindano tena...&Chanjo zinazobaki ni...
(A) Mdondo/Kideri(Newcastle Vaccine) aina ya LASOTA
(B) Minyoo &Hizi zote ni kila baada ya miezi mitatu mitatu....
2. Siku ya 2 hadi 6 KINGA ya Pullorum, Dawa: Trimazine 30% plus Vitamin, Namna: Maji
3. Siku ya 7, Chanjo ya Mdondo/Kideri (Newcastle), Dawa: Newcastle vaccine [LASOTA] Namna: Maji
4. Siku ya 14, Chanjo ya Gumboro, Dawa: chanjo ya Gumboro, Namna: Maji
5. Siku ya 16 – 20, KINGA ya Koksidiosis (coccidiosis), Dawa: Trimazine 30% plus vitamin (Vitalyte itafaa), Namna: Maji
6. Siku ya 21, Chanjo ya Mdondo tena.. [Maelezo yapo kwa juu]
7. Siku ya 28 rudia chanjo ya gumboro,&Siku ya 30hadi 32, KINGA: kuimarisha kinga ya mwili, OTC 20% changanga na Amin'Total vitamin.
8. Siku ya 35 hadi 39 KINGA: Mafua, OTC 50% au CORDIX (ukiona kinyesi kina muharo kiasi) au Tylosine 75% changanya na Amin'Total.
9. Siku ya 56, Chanjo: Ndui. Hapa inabidi uangalie sasa kutokana na changamoto za magonjwa wape kati ya wiki ya 7 na kuendelea kutokana na kwamba ktk majumba yetu tuna kuku wakubwa na wadogo hivyo tafiti zinasema hivyo kwa sasa.
10. Siku ya 60 hadi 64 (Rudia namba 6 hapo juu)
11. Wiki ya 12 ( kati ya siku ya 64 hadi 70), Chanjo: Typhoid
12. Wiki ya 13 (kati ya siku 85 hadi 91), KINGA: minyoo
13. Wiki ya 15, Ukataji wa midomo
14. Wiki ya 16, KINGA ya kipindupindu, OTC 20 YA SINDANO, Sindano kwenye nyama ya kifua.
15. Wiki ya 17, KINGA ya mafua, Tylosine ya sindano, Sindano kwenye nyama ya kifua
16. Wiki ya 18, chajo ya Typhoid, Baada ya hapo, waache kuku.. Hakuna sindano tena...&Chanjo zinazobaki ni...
(A) Mdondo/Kideri(Newcastle Vaccine) aina ya LASOTA
(B) Minyoo &Hizi zote ni kila baada ya miezi mitatu mitatu....