Somo nililojifunza McDonald Restaurant

Somo nililojifunza McDonald Restaurant

unajua haya mambo ya kuteuliwa na mara Rais, mara Waziri/Mtu influential ka-influence fulani ateuliwe............ndiyo yanayoturudisha nyuma sana........kwa sababu watu wanawajibika huku akikumbuka fadhila za kupewa ulaji na Rais au Waziri/Mtu influential.......na matokeo husahau kuwatumikia wananchi................na ndio maana hata kujiuzulu kwao........eti kwa manufaa ya umma inakuwa jambo la ajabu
 
Tatizo la viongozi wetu, na labda Watanzania kwa ujumla, ni kwamba hawajawahi kufanya kazi McDonalds.

Watanzania wengi ambao hawapata kuishi nga'mbo hawajui kazi maana yake nini.

Nafikiri kati ya viongozi waliopo sasa wengi wasoma nje ya nchi. na hao walio ubalozini wengi pia kama sikosie wamepitia huko na ku panga mabox na kufanya kazi mcdonald, lakini bado wako hivyo hivyo. tena usishangae wengi wanao haribu ndio waliso kaa nje ya nchi zaidi na kufanya hizo kazi sana tu.

kwa mtazamo wangu hili tatizo ni la kijamii ya watanzania wote (ingawa kwa sasa tunawaona hawa waliopo). na sema ni lakijamii kwa maana hatujalelewa katika mazingira ya kupanga na kuchagua. familia zetu wengi hatujui hata kwa mwaka kipato chetu ni shilingi ngapi, na katika hizo zipi zinatumika kwa nini. kikubwa ni kwamba ipo inatumika haipo tunakopa kwa jirani. ilimradi siku imepita. ya kesho yatajulikana kesho.

wangapi wanaosimamia bajeti yetu wameshawahi hata kuwa na mpango wa miaka miwili nyumbani kwao wa nini anataka kufanya na atapata wapi pesa na matumizi yatakuwaje. sasa kama mtu hajalelewa katika mazingira hayo ya kuwa na mipango na namna ya kuikamilisha, unapompa mpango wa matumizi anaona ni yayle yale tu, kesho zitapatikana nyingine tu.

kikubwa ni kwamba katika familia zute kwa watoto na wakubwa hakuna Immediate consequences za kutopanga. Kama mjadala unavyokwenda kwa wenzetu kidogo tu hauna kazi. inabidi haya mambo tuyaanzie mbali kwa watoto wetu ili wao wasije wakawa kama sisi. wajue kupanga, wajue wasipopanga kuna consequences tena hasi sio chanya.

lakini kwa sisi sasa ndio ipo kazi tanajitahidi kujifunza siku zinavyo kwenda, haya tuiowapa kazi zetu, pia tumewagaramia ili waweze kupata amabyo wenzetu kwa kiasi kikubwa ni sehemu ya maisha yao. na tunaowaliosoma kweli kweli. lakini bado moja ambalo MMk analisema, hatujajifunza kutoa adhabu pale mtu anapoonyesha udhaifu. wengi wetu kwa viboko (ingawa siku hizi havikubaliki) tulibadilishwa mienendo yetu iloyokuwa inakwenda kushoto, na wadogo zetu wakajifunza baada ya kuona kaka na dada wanagugumia maumivu ya viboko. tunahitaji hili kwa watendaji wetu, kama tumewapa nyezo na uwezo wakufanya vyote sawa halafu kwa makusudi hawatekelezi vilivyo adhabu ni muhimu sana.

tukiwadhibu basi kesho watajua nini lakutegemea tukiwapa nafasi nyingine. Naamini bila adhabu tena kali Tanzania kujikwamua hapa tulipo itakuwa ngumu. ndio nitatizo la kijamii ila Adhabu ni muhimu sana katika kufundisha. shuleni adhabu ya kukosea mtihani ni kunyimwa maksi, katika maisha adhabu ya kukosea kuitumikia jamii vizuri kunyimwa nafasi ya kuitumikia tena (nafikiri)
 
Mzeeba, I couldn't agree with you more, Excellent post with so much wisdom!
 
Nafikiri kati ya viongozi waliopo sasa wengi wasoma nje ya nchi. na hao walio ubalozini wengi pia kama sikosie wamepitia huko na ku panga mabox na kufanya kazi mcdonald, lakini bado wako hivyo hivyo. tena usishangae wengi wanao haribu ndio waliso kaa nje ya nchi zaidi na kufanya hizo kazi sana tu.

...lakini bado moja ambalo MMk analisema, hatujajifunza kutoa adhabu pale mtu anapoonyesha udhaifu. wengi wetu kwa viboko (ingawa siku hizi havikubaliki) tulibadilishwa mienendo yetu iloyokuwa inakwenda kushoto, na wadogo zetu wakajifunza baada ya kuona kaka na dada wanagugumia maumivu ya viboko. tunahitaji hili kwa watendaji wetu, kama tumewapa nyezo na uwezo wakufanya vyote sawa halafu kwa makusudi hawatekelezi vilivyo adhabu ni muhimu sana.

...tukiwadhibu basi kesho watajua nini lakutegemea tukiwapa nafasi nyingine. Naamini bila adhabu tena kali Tanzania kujikwamua hapa tulipo itakuwa ngumu. ndio nitatizo la kijamii ila Adhabu ni muhimu sana katika kufundisha. shuleni adhabu ya kukosea mtihani ni kunyimwa maksi, katika maisha adhabu ya kukosea kuitumikia jamii vizuri kunyimwa nafasi ya kuitumikia tena (nafikiri)

Umeenda umezunguka halafu umerudi pale pale kwenye nilichokisema na Mwnkjj: hakuna work ethics grounded in accountability kama za MickyD au workplace nyingine yoyote ya nchi zilizoendelea.

Na point yako ya kusema tuanze kuwafundisha watoto consequences za kutokupanga ni nzuri lakini ipo misplaced au incoherent katika mada ya accountability kazini kwa sababu umeshasema watoto wanachapwa fimbo toka mwanzoni lakini wakifikia kazini hawajajifunza bado. Kwa hiyo I guess kuwafundisha na bakora toka utotoni hakusaidii kuwafundisha accountability.

Tatizo ni work ethics za McDonalds au workplace ya nchi zilizoendelea hakuna. Wabongo hatujajua kazi maana yake nini.
 
Je kazi ni mahali pa kupata mapato (njia ya kujipatia mshahara na kipato) au pia ni mahali pa kutoa huduma na bidhaa? Je mtu anaweza kuwa na kazi bila kuhakikisha anatoa huduma nzuri na bidhaa nzuri as long as anapata kipato chake?

Makampuni kama MacD pamoja na utani mwingi dhidi yao they exist because of service and not just service but good and quality service. Wakifanya biashara mbaya mtu haiendi kula hapo tena. So it is in their interest to provide excellent service. Na hilo linalazimishwa kwa kuweka matokeo ya kazi mbaya na usimamizi mbaya.

Kwetu sisi hofu yangu ni kuwa bado kuna watu ambao hawajali what kind of service/products wanatoa au ina ubora gani as long as wao wanalipwa. Watu hawa hawajali sana kama taratibu za kazi zinafuatwa as long as at the end of the month wanapatiwa mshahara wao. Sasa kwa watu hawa, kutotia sahihi karatasi fulani, kutohoji malipo fulani n.k (kama nilivyoonesha hapo mwanzo) kwao si tatizo kwani at the end of the day kesho wakija kazini kibarua kipo, gari lipo, na fedha nyingine zipo.

Ndio maana miaka kadhaa iliyopita nilitoa pendekezo la kuwapa viongozi uwezo wa kumfukuza mtu on the spot na kuwa na ajira za "at will" ili watu wajue kuwa at any given time you can be replaced.

Just imagine, kesho usikie Waziri fulani amefukuza kazi so and so kwa uzembe. Hakuna cha mahakama wala nini unafikiri huyo mwingine atakayeingia atasikia yuko salama? We can force responsibility in people by using forceful means. Uzembe should never be tolerated nor incompetence rewarded.
 
Nadhani ni vizuri kukawa na due process katika ufukuzaji kazi
 
Tusimumunye sana, Wabunge Kenya wanataka roho ya Waziri wa Fedha kwa Uzembe na Ulaghai, sisi kinatushinda nini?

Kenyan Lawmakers Call on Finance Minister to Resign (Correct)

By Eric Ombok
(Corrects typographical error in headline.)
July 2 (Bloomberg) -- Kenya's parliament passed a motion of no confidence against Finance Minister Amos Kimunya and demanded his resignation for disregarding the country's public procurement and disposal laws, a lawmaker said.
The vote of no confidence comes amid an investigation into the secret sale by the government of the Grand Regency Hotel in the capital, Nairobi. Two weeks after denying it, Kimunya said on June 27 the hotel had been sold.
``This house censures the minister and resolves it has no confidence in him and demands his immediate resignation,'' Bonny Khalwale, chairman of parliament's public accounts committee, said in a statement today. The remarks were broadcast on national television.
Prime Minister Raila Odinga yesterday asked Attorney General Amos Wako to investigate the sale of the hotel. The purchase of the establishment was funded with the proceeds of a 1990s corruption scandal, known as Goldenberg, according to the Central Bank of Kenya.
The Grand Regency was secretly sold for 1.85 billion shillings ($28.3 million) to a locally registered company, Land Minister James Orengo told reporters late yesterday.
Wako's report is expected to be considered in a meeting of Kenya's Cabinet tomorrow. President Mwai Kibaki has the power to fire Kimunya should he decline to stand down.
Kimunya didn't immediately respond to a message left on his mobile phone seeking comment.
The Goldenberg scandal in the 1990s involved payments by the government to Goldenberg International, a Kenyan company, to subsidize fake gold and diamond exports. The scheme cost the government an estimated $1 billion
To contact the reporter on this story: Eric Ombok in Nairobi via Johannesburg at pmrichardson@bloomberg.net.
 
Employment at Will.

How come it creates accountability, productivity, efficiency, responsibility and loyalty? Why Tanzania iwe ngumu? Would this be a motivation for people to pay attention to their jobs and expectations?

From Wikipedia, the free encyclopedia


Jump to: navigation, search
At-will employment is a doctrine of American law that defines an employment relationship in which either party can break the relationship with no liability provided there was no express contract for a definite term governing the employment relationship and that the employer does not belong to a collective bargain (i.e. a union). Under this legal doctrine:
“any hiring is presumed to be "at will"; that is, the employer is free to discharge individuals "for good cause, or bad cause, or no cause at all," and the employee is equally free to quit, strike, or otherwise cease work.[1]”
Several exceptions to the doctrine exist, especially if unlawful discrimination is involved regarding the termination of an employee.
Since this reduces job security, it can create, in theory, an atmosphere of fear that may contribute to workplace bullying[citation needed]. As a means of downsizing, such as closing an unprofitable factory, a company may terminate employees en masse. However, there are legal limitations upon the employer's ability to terminate without reason.

Statutory exceptions
Although all U.S. states have a number of statutory protections for employees, most wrongful termination suits brought under statutory causes of action use the federal anti-discrimination statutes which prohibit firing or refusing to hire an employee because of race, color, religion, sex, national origin, age, or handicap status. Other reasons an employer may not use to fire an at-will employee are:
  • for refusing to commit illegal acts – An employer is not permitted to fire an employee because the employee refuses to commit an act that is illegal.
  • family or medical leave – federal law permits most employees to take a leave of absence for specific family or medical problems. An employer is not permitted to fire an employee who takes family or medical leave for a reason outlined in the Family and Medical Leave Act.
  • not following own termination procedures – often, the employee handbook or company policy outlines a procedure that must be followed before an employee is terminated. If the employer fires an employee without following this procedure, the employee may have a claim for wrongful termination.[12]
Examples of federal statutes include:
 
La nyongeza

Employment At Will: What Does It Mean?

Learn whether your employer must have a good reason for firing you.
Job applicants and new employees are often perplexed to read -- in a job application, employment contract, or employee handbook -- that they will be employed "at will." They are even more troubled when they find out exactly what this language means: An at-will employee can be fired at any time, for any reason (except for a few illegal reasons, spelled out below). If the employer decides to let you go, that's the end of your job -- and you have very limited legal rights to fight your termination.
If you are employed at will, your employer does not need good cause to fire you. In every state but Montana (which protects employees who have completed an initial "probationary period" from being fired without cause), employers are free to adopt at-will employment policies, and many of them have. In fact, unless your employer gives some clear indication that it will only fire employees for good cause, the law presumes that you are employed at will.
 
Mimi nikisema Waafrika Ndivyo Tulivyo naambiwa eti nina complex.......
iferiority complex.....!
JE HAO COLOURLESS HAWANA MAPUNGUFU.....? the tatizo hao wenye matatizo washughulikiwe, na si wote wenye matatizo....!
 
Nadhani ni vizuri kukawa na due process katika ufukuzaji kazi

siyo katika nafasi zote, due process mojawapo ni one is being employed "at will". That is "due" enough.

Hata wale wa kwenye mikataba, we have to create mikataba ambayo inakuwa rahisi kuwawajibisha na wakati huo huo kuwazawadia wanapofanya vizuri.
 
Mwanakijiji,

Jana baada ya kulonga, mara tatu nilipotaka kuanzisha thread kuhusiana na hiyo ripoti ya CAG, Comcast wakawa wanaleta kokoro, nikashindwa kuiposti. Nilikwenda kuisoma ile ya Kizungu, maana ya Kiswahili lugha za kihasibu zanipiga chenga.

Bottom line is this, we do not have an accountable government period!

Siyo Raisi, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Bunge, Mahakama, Wabunge, Makamishna, Taasisi, Kurugenzi or whatever, kila mahali kuna "ujanja ujanja" na kukosekana kabisa miiko ya kimahesabu na kiuhasibu.

Hivi kweli tuna Serikali au ni vikatuni-vikaragosi ndio walio viongozi? Inakuwaje Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Taasisi ambazo zina historia ya ufujaji wa pesa na kukosa nidhamu ya pesa za umma na matumizi yake wanaendelea kushikilia nyadhifa zao?

Kama wao wakiwa wakubwa wanashindwa kuhakikisha kuna uwajibikaji, je wanafikiria ni vipi Taifa linaweza kuwa na Maendeleo?

Hivi kazi yote na mapendekezo ya Mkaguzi Mkuu hutupwa Chooni?

Nitabandika hapa mengine ya ziada mujionee wenyewe ni jinsi gani Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu na mjiulize kosa la nani na kwa nini tunaendelea kuwa Wanyonge na Masikini!

Executive Summary
This report provides a summary of the final results of the financial statements of the Central Government for the financial year ended 30
th June 2007. The scope of audit in the Central Government includes Ministries, Government Departments,

Agencies and Regional Secretariats. The audit results of this year have shown a positive improvement in the opinions issued to the Central Government entities.

Although the trends of audit opinions have positively improved, there are still weaknesses in financial management in the Government which have been emphasized. Key dominant features includes:-


Non compliance with the procurement laws
Weak management of cash and assets

Non implementation of my previous years' recommendations



The review of the procurement process found that, there is a substantial work to be done in ensuring that procurement laws are complied with. I made a statement that almost all procuring entities have generally not complied with the procurement laws.



The findings on procurement irregularities presented in this report amounting to Shs.25,836,825,981 include the following:-

1 Lack of annual procurement plans

2 Non establishment of procurement management units and tender boards
3 Procured stores not recorded in stores ledger shs. 17 569,756,467
4 Short or non delivery of goods/services paid for shs.
10,490,648,384

5 Procurement made without competitive bidding shs. 645,092,064

6 Irregularities in maintenance & servicing of motor vehicles shs. 351,246,386
7 Procurement without tender board approval shs. 88,619,348
8 Weaknesses in contract management shs. 12,444,277,577
9 Other procurement irregularities shs. 1,247,185,755


Total 25,836,825,981

Lastly, as per the mandate vested in me under Sect.34 of PFA No 6(2001), I have made a number of recommendations in Chapter 8 of this report what if implemented will contribute in improving the management of public resources in our country. The recommendations includes among others;
Prompt actions on my previous years' recommendations;

• Ensuring compliance with laws and reporting frameworks;

• Improving discipline in Government expenditures;

• Strengthening procurement processes by complying with procurement laws;

• Improving the payment procedures for terminal benefits;

• Increase controls over Donor Funded Projects, Embassies, Agencies and Programmes;

• Review of the revenue retention schemes;

• Harmonization of the conflicting legal provisions and

• Strengthening of internally generated revenues.

Kila kitu hapa ni irregularity! Ina maana tumesha halalisha Irregularities!​
Accountant General's Department

- Payments for visa stickers not confirmed to have been delivered by supplier Shs.910,545,765.75

Defence Forces (TPDF)

- Outstanding matters from previous years (2003/04 – 2005/06) Shs. 2,984,556,286.

- Missing payment vouchers Shs 614,980,930


- Inadequately vouched expenditure Shs.381,532,247
Prisons Department

• Payment without authority Shs.101,616,291


• Unreconciled differences in the deposit account Shs.150,675,441

National Assembly

- Advance payments prior to supply of good and services Shs.21,072,000
- Insufficiently supported expenditure Shs.183,531,035
- Unretired imprest totaling Shs.67,478,600
- Payments totaling Shs.98,669,801 were effected based on profoma invoices.

Prime Minister's Office and Affiliated Bodies

- Unvouched and improperly vouched expenditure:
• Supply Vote A/c Shs.39,009,665.


• National Relief Fund Shs.215,275,000.

- Unsupported transfers and subsidy payments Shs.307,679,300.

Ministry of foreign Affairs and International
Cooperation
- Total values of outstanding issues from the previous years not cleared Shs.5,016,517,306 and Euro 5,924
- No accountability of subvention disbursed to the Centre for Foreign Relations Shs.1,531,278,729
- Outstanding imprests balances (Head office) Shs.8,475,000
- Partial retirement of imprests Shs 5,344,000
- Outstanding furniture advances to Mission Officials Shs.71,832,169.24
- Disagreement of revenue collections from Mission Abroad (understatement) Shs.689,084,355

- Unreconciled differences Shs.169,309,325.20

Public Debt and General Service
- Guaranteed loan balance of Shs.4,552,283,100 not paid back to the Government.
-Lack of a legally binding (signed) agreement between the BOT and Treasury on liquidity cost sharing.

- Discrepancy in debt service cost between statement of Public Debt submitted for audit and exchequer issues received Shs.657,292,716,611.80

- Credit risk: Failure of parastatals to meet their maturing obligations thereby necessitating the Government to repay the loans on their behalf thus exposing the Government to credit risk.
Ministry of Planning, Economy and Empowerment
• Repair for Motor Vehicles of Shs.9,486,000 was not approved by TEMESA

• Funds borrowed Institute of Rural Development Planning amounting to Shs.19,613,000 was not authorised by Accounting Officer

• Electric equipment worth Shs.2,215,343,936 were not delivered in time.

Ministry of Livestock Development

• Outstanding imprests adding to Shs. 80,677,530 were not disclosed in the Appropriation Accounts

• There were improperly vouched expenditures adding to Shs. 195,256,000

• Stores worth Shs. 41,213,045 were not accounted for,

• Cattle (230 Boran Heifers) bought for Shs.86,000,000 were not delivered

• There were irregular payments of Shs. 53,979,578.00

• Revenue collections amounting to Shs.1,477,478,061.26 included in the Statement of Revenue could not be verified in the absence of returns from the Treasury.

• Accountable documents not recorded in the Counterfoils register

Ethics Secretariat (Tume ya Maadili)

• Acquired non current assets not recorded in assets register Shs.103,072,296

• Statement of performance lack cost per activity

Ministry of Health and Social Welfare
• Unvouched and Improperly vouched expenditures amounted to Shs.565,030,363
• A register of movable assets do not reflect fixed Assets owned by the Ministry.

• A statement for Assets and Liabilities (Deposit Account) was not prepared.

• Imprests worth Shs.750,239,060 was not accounted for.

•There was revenue collections understated of Shs.1,237,408,995

• Unreported arrears of revenue was Shs.108,516,140

• Goods paid for but not delivered Shs. 8,103,130,448.

Ministry of Energy and Minerals
• Previous matters of 2000/2001, 2004/2005 and 2005/2006 worth shs.12,248,019,053 were not resolved.
• Uncleared items in bank reconciliation statements CPS Shs.1,546,906,004

• Uncleared items – Revenue Retention Account Shs.1,321,346,755

• Non collection of revenue totalling Shs.2,006,200,773

• Stores not taken on ledger charge were Shs.122,721,700

• Unaccounted for direct donor funds were Shs.13,843,173,197

• There were short collections of royalties on diamonds of Shs.140,324,504 (USD.119,425.11)

• Outstanding imprests were Shs.89,840,576

• Outstanding loan SEAMIC were Shs.123,000,000

• Irregular and questionable payments incurred were Shs.117,014,152

• Diversion of funds were Shs.206,662,656

• Fixed Assets worth Shs.139,165,251 were omitted

• Funds for construction works – Madini Institute in Dodoma Shs.2,206,737,360 were delayed.

Immigration Services Department

• There was inadequately supported expenditure amounting to Shs.731,111,845
• Necessary Information was missing in respect of consultancy service contract of Shs.983,0556,200

• Commitments were made without approval leading to huge outstanding liabilities to the Government of Shs.13,548,998,564.75

Judiciary

- Fixed Assets omitted on the Statement of Fixed Assets Shs.9,864,526,288
- Insufficiently supported expenditure Shs.458,965,135
- Questionable maintenance of motor vehicles to private garage Shs.84,662,017
- Bulk purchase of law books on single source method without justification Shs.158,995,200.

Unretired Imprests Shs.3,138,942,669

Questionable Payments for Year 2006/07-Shs.82,820,848,330

During the financial year 2006/2007 five (5) MDAs/RAS incurred payments of Shs.


82,820,848,330. However, the payments lacked relevant and sufficient information to establish the validity of the payments and hence proper charge to the public funds.

Deferred payments Shs.904,567,135
Reg.54(4) of the PFR states that "No Accounting Officer or any officer shall cause to transfer expenditure from one financial year to another, and any such transferred
expenditure shall be treated as unauthorized expenditure. Contrary to this requirement, audit has noted that payments amounting to Shs.904,567,135 as shown below relating to the previous year were withheld and paid during the year under review to avoid over expenditure in the financial year 2006/2007.
Unvouched Expenditure (Missing Payment Vouchers) Shs.1,288,040,677
Unvouched expenditure is defined as an expenditure for which there is complete absence of payment voucher and other supporting documentary evidence to substantiate the authenticity of the expenditure. During the year under review a sum of Shs.1,288,040,677 was incurred by 7 MDAs/RAS without documentation. This is a violation of Reg. 86 (1) of PFR 2001 which requires all disbursements of public money to be properly vouched on the prescribed form of payment voucher and must have attached thereto full particulars of the service for which payment is made.
Improperly Vouched Expenditure Shs.9,489,465,695
According to Reg. 86(1) of PFR 2001 Improperly vouched expenditure occurs when a payment voucher exists but is not supported by other documentation such as a local
purchase order, invoice, muster roll, receipted payroll, delivery note, expenditure statements.
A comparison of payments not supported by proper documents (improperly vouched) for the financial year 2005/2006 and 2006/2007 shows that there has been a
remarkable decrease from TShs.36,665,182,261 to Shs.9,489,465,695
Procurement Made Without Following Competitive Bidding Shs 645,092,064
Weaknesses in Contracting and Contract Management Shs 12,444,277,577
Payments made before delivery of goods & services Shs.
178,539,995


Other Procurement Irregularities Shs.1,232,832,255

Statement of losses of public money and stores Shs.2, 370,687,565


 
Wanabaraza,
Tanzania kuna tatizo kubwa kuliko linavyoonekana kwa nje. Ni tatizo la jamii kukumbatia ufisadi. Yaani watanzania bado hatujaona kwamba utajiri unaopatikana kwa njia isiyo halali ni utajiri unaonuka. Ni wangapi kati yetu wakipewa nafasi katika hizo ofisi za serikali hawatakula bila kunawa mikono? Jihoji nafsini mwako na uwe mkweli kwako mwenyewe kwanza.

Tanzania sasa hivi tunadanganyana. Serikali inadai inalipa wafanyakazi wake kumbe haiwalipi kitu. wafanyakazi nao wanaidanganya serikali kwamba wako kazini kumbe hamna kitu. Ni kudanganyana tu. We fikiria mtu ana shahada ya uzamili(masters degree) analipwa laki 2 na nusu kwa mwezi. Mtu huyo ataishije bila kuwa na njia zinginezo? Mtu huyo halipwi bali anadanganywa kwamba analipwa!!!! Mtu anaingia kazini saa 2 anatoka 9.30 mchana na hapo amekwenda lunchi saa 7 hadi 8.30 mchana. Pia amekuwa akisoma tu jamii forums tangu asubuhi. je, mtu huyo amefanya kazi kweli? Ni udanganyifu pande zote

Ili mtu afanye kazi lazima ana kitu anachotegemea, sasa huko serikalini mtu anafanya kazi ili apate nini ilihali mshara hakuna. Ni wazi mtu anfanya kazi ili asafiri nje ya cnhi au apate safari ya kikazi nje ya kituo au apate extra duty allowance au aweze kuunganisha deal apate hela ya kufika mwisho wa mwezi

HII NDIO HALI HALISI SERIKALINI.

Tuendelee na mjadala sasa
 
Kwa haraka haraka pesa ambazo matumizi yake yana utata ni karibu Shs 2,800,000,000,000.00 au dola za Kimarekani Billioni 2.2 ukichanganya Mikoa, Wizara na Idara!

How in the hell can we have such huge discrepancies in our money?
 
I've said it before, I'll say it again, Watanzania we are not serious... karibu trilioni 3 hazina maelezo ya kueleweka, yaani ndio zishakwenda hivyo na hakuna consequences zozote kwa wahusika?! Halafu mheshimiwa rais anashangaa akidai hajui kwanini umasikini umetuandama namna hii...
 
Mimi naomba kujua, hivi tutaumia nahizi report na kujibiwa mikato na wahusika mpaka lini, hivi hamuoni kuwa kuna haja ya kubadili strategy??
 
Mimi naomba kujua, hivi tutaumia nahizi report na kujibiwa mikato na wahusika mpaka lini, hivi hamuoni kuwa kuna haja ya kubadili strategy??

Yes we need to change strategy, so which one? may be Tuandamane,

Mko wapi vyama mbadala? itisheni maandano nchi nzima tuwaunge mkono, tupaze sauti kila kona kwa hawa watawala wetu waweze kutimiza wajibu wao, hizi pesa zisizo na maelezo zirudishwe, wahusika wakamatwe na kufilisiwa, na kama hawawezi wastep down waachie vichwa vifanye kazi nchi isonge mbele!
 
Yes we need to change strategy, so which one? may be Tuandamane,

Mko wapi vyama mbadala? itisheni maandano nchi nzima tuwaunge mkono, tupaze sauti kila kona kwa hawa watawala wetu waweze kutimiza wajibu wao, hizi pesa zisizo na maelezo zirudishwe, wahusika wakamatwe na kufilisiwa, na kama hawawezi wastep down waachie vichwa vifanye kazi nchi isonge mbele!


Forget Political Parties...we Need Pressure Groups zenye kujua kazi.



One thing to give credit for ni huyu Mkaguzi Mkuu wa Serikali...hizi ripoti zake katika miaka ya karibuni zimekuwa na UWAZI na pia zinaandikwa kitaalamu kuliko miaka ya nyuma...bado kunahitajika kuboreshwa zaidi isipokuwa jitahada zake zinaonekana.
 
Haya ni madhambi ambayo hawayakutaka kuwekwa hadharani na kujuilikana lakini kwa vile serikali wameona kuwa watanzania ni mazuzu na hata yakifanyika madudu hawafanywi kitu na tutaendelea kupiga kelele na wao wanasema kelele za mpangaji hazimwachi mwenye nyumba kulala.

Kama hatukubadilisha mbinu za kuleta mabadiliko katika nchi hili genge litafanya litakavyo na hakuna litalobadilika. Kwa nini tusianzishe Kampeni ya kudai katiba mpya ambayo wengi tunakubaliana kuwa ndio njia muafaka ya kupunguza makali ya serikali ya Chama kimoja.

Kelele na kufichua maovu sipingi zinaweza kuleta mabadiliko lakini ni ya pole pole sana na tunaweza kuwa vizee au hata kufariki na mabadiliko hayajatokea kwani kama hawa ni watu wa kuona soni wasingeanika ripoti hiyo hadharani na hata wasiwe na kitetemeshi - hii ni sawa na kuzini na mke wa mtu na ukaingia chumbani mwao na mume yuko ukumbini anakuona.

Masikini nchi yangu Tanzania.
 
Kwa haraka haraka pesa ambazo matumizi yake yana utata ni karibu Shs 2,800,000,000,000.00 au dola za Kimarekani Billioni 2.2 ukichanganya Mikoa, Wizara na Idara!

How in the hell can we have such huge discrepancies in our money?

Rev,

Haya mambo ndiyo yananipelekea mimi kuitisha Kikwete astaafu maana sasa haya ni makusudi na sio bahati mbaya. Nchi imepoteza mwelekeo kabisa na hakuna anayejali.
 
Back
Top Bottom