Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Incredible...moko ya miujiza, vocal kama ya Jesus, Mungu alimdesign mama yake akampublish [emoji3] dah hawa jamaa ni shiiidaMmh...
Sio kweli mkuu...
Hivi ushawahi kumsikiliza ONE THE INCREDIBLE...
sema kuna muda inatokea wanaingiza maneno MAGUMU kidogo kwenye mistari yao (hip-hop ndivyo ilivyo)...
Nafikiri hiyo ndio sababu inayokufanya uone hawa watu wanafanya mziki wa kihuni..!
Mkuu...Incredible...moko ya miujiza, vocal kama ya Jesus, Mungu alimdesign mama yake akampublish [emoji3] dah hawa jamaa ni shiiida
Bei ya sukari inafanya ninywe chai na pipiwanasema mimi mkali lakini mbona sisikiki?
Anakwambiasonga ni solo mcee/
we ni player njoo uchezee libolo fc
Dogo hashimu Hafanyi mziki siku hizi....Swala tano sanaWatu wa Hip hop mnatuchanganya sana, atakuja mwingine atasema Dogo Hashimu hatari
Kaskilize wabana puaMC wa shughuli gani, anamshinda Taji Liundi au mbwembwe tu
Tena One The Incredible ni SURVEYOR ....graduate wa Ardhi.... Niki wa pili anafanya/anamalizia Masters.... Mike T kamaliza CBE anapiga mzigo, BLACK RHYNo kamaliza mzumbe BBA.... BONTA ni dokta hapo Kahama... ....EMBU NTAJIE WA5 TU WA MIZIKI YENU YA KULILIA NGOLOLONGOLO.... Mwenye hata Diploma..... Hip Hop mpaka uisikilize uilewe unahitaji kichwa chenye uwezo ...na mistari ushairi wake ni hali ya juuu.....Mmh...
Sio kweli mkuu...
Hivi ushawahi kumsikiliza ONE THE INCREDIBLE...
sema kuna muda inatokea wanaingiza maneno MAGUMU kidogo kwenye mistari yao (hip-hop ndivyo ilivyo)...
Nafikiri hiyo ndio sababu inayokufanya uone hawa watu wanafanya mziki wa kihuni..!
Sasa mstari mgumu huko wapi, kugeuza maneno, au kutumia tamathari za manenoAnakwambia
Usiombe uwekwe kwenye beat na mim utajua kwa nin uganda mpaka leo hakuna dada gaidi kama iddi amnin
Tena One The Incredible ni SURVEYOR ....graduate wa Ardhi.... Niki wa pili anafanya/anamalizia Masters.... Mike T kamaliza CBE anapiga mzigo, BLACK RHYNo kamaliza mzumbe BBA.... BONTA ni dokta hapo Kahama... ....EMBU NTAJIE WA5 TU WA MIZIKI YENU YA KULILIA NGOLOLONGOLO.... Mwenye hata Diploma..... Hip Hop mpaka uisikilize uilewe unahitaji kichwa chenye uwezo ...na mistari ushairi wake ni hali ya juuu.....
Chini ya ulinzi!Anakwambia
Usiombe uwekwe kwenye beat na mim utajua kwa nin uganda mpaka leo hakuna dada gaidi kama iddi amnin
Tena One The Incredible ni SURVEYOR ....graduate wa Ardhi.... Niki wa pili anafanya/anamalizia Masters.... Mike T kamaliza CBE anapiga mzigo, BLACK RHYNo kamaliza mzumbe BBA.... BONTA ni dokta hapo Kahama... ....EMBU NTAJIE WA5 TU WA MIZIKI YENU YA KULILIA NGOLOLONGOLO.... Mwenye hata Diploma..... Hip Hop mpaka uisikilize uilewe unahitaji kichwa chenye uwezo ...na mistari ushairi wake ni hali ya juuu.....
Bei ya sukari inanifanya ninywe chai na pipi.wanasema mimi mkali lakini mbona sisikiki?
Yap....nimemchamganya.....asanteStereo ndio amesoma ardhi,sidhani kama One Incredible ni graduate
Tena One The Incredible ni SURVEYOR ....graduate wa Ardhi.... Niki wa pili anafanya/anamalizia Masters.... Mike T kamaliza CBE anapiga mzigo, BLACK RHYNo kamaliza mzumbe BBA.... BONTA ni dokta hapo Kahama... ....EMBU NTAJIE WA5 TU WA MIZIKI YENU YA KULILIA NGOLOLONGOLO.... Mwenye hata Diploma..... Hip Hop mpaka uisikilize uilewe unahitaji kichwa chenye uwezo ...na mistari ushairi wake ni hali ya juuu.....
Me pia nakosaga jibu kwanin huyu jamaa na TIMU yake nzima ya TAMADUNI music hawasikiki..![/QUO
mashabiki wanasifia tu hawanunui albam kilingen hawaendi wanaenda kwa diamond pia wao wenyew hao tamaduni hawataki kwenda na wakati mwenzao akishift kidogo wanaponda
mkuu na huku unakujag nakuonag sana maeneo yako kujidaiDogo hashimu Hafanyi mziki siku hizi....Swala tano sana