chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Hataree sana Kuna hii nyimbo ya cjamoker +P the Mc +zaidiii inaitwa nanii asee zaiid kanipagawisha na flow yake namkubali sana huyu kiumbeFidodido...
Hawa watu ni hatari sana...
Yaani yaani TAMADUNI MUSIC unapata kila aina ya radha ya hip-hop...
Kama ni MTU wa kupenda maflow fulani ya swagger basi huyu MTU wa kuitwa ZAIID atakupa burudani ya kutosha...
Hawa jamaa wako vizuri bhana
Mia...Naam Mkuu Mixtape pamoja na Album zao kali unapata pale kwa bei nafuu sana, bei ya kizalendo hasa.
Pia hata kubadilishana mawazo juu ya HUU MZIKI
Memba na illmatrix ni nembo ya WatamaduniMia...
Alafu kuna mashine nyingine inaitwa illmatix...
Nimemkuta kwenye nyimbo za Songa...
Hivi huyu jamaa na yeye yuko tamaduni au..?
mkuu illmatix siyo mtu, ni kundi dogo ndani ya tamaduni muziq linaloundwa na (xonga, moko wa miujiza na six o'clock.)Mia...
Alafu kuna mashine nyingine inaitwa illmatix...
Nimemkuta kwenye nyimbo za Songa...
Hivi huyu jamaa na yeye yuko tamaduni au..?
Ooh...mkuu illmatix siyo mtu, ni kundi dogo ndani ya tamaduni muziq linaloundwa na (xonga, moko wa miujiza na six o'clock.)
Ahahaaah...kuna ngoma ya baba Malcom
Nick mbish Ft. Becka Tittle
ni hatari hii ngoma sijui kwanini akina rick ross waonekane juu ya Nick mbish baba malcom
BANGO
Umemaliza kila kitu mkuu..!Songa na tamaduni music ni integral mathematics
Huwezi elewa mistari yake kama akili ndogo ndio maana mnasema eti uhuni huku ni akili kubwa tu ndo wanaweza kuelewa
Wewe ni ki.........Sasa mstari mgumu huko wapi, kugeuza maneno, au kutumia tamathari za maneno
Wimbo maridhawa kabisaCHUNGA SANA INAPOFIKA USIKU
Akarusha nkakwepa,Chunga sana unapofika usiku
Sijui ana roho ya kiGhadaffi..!?Akarusha nkakwepa,
Kijijini Nina tuzo ya mielekaSijui ana roho ya kiGhadaffi..!?