The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Upuuzi mtupuHaya ndio Yale Yale ya Mr.Tumbili na Mke wake.
My Take: Mambo ya ndege wasiofanana hawawezi kuruka pamoja.
View: https://www.instagram.com/reel/DC4axKMoLta/?igsh=cm1pOGpud3B3YXJz
Huyu siyo mke wa kuoa ila ni Malaya wa kisiasa. Kama anamkashifu mumewe hadharani atashindwa kumsaliti kwa kuzini nao, hao anaowaona wa maana. !!!!! Hafai.Haya ndio Yale Yale ya Mr.Tumbili na Mke wake.
My Take: Mambo ya ndege wasiofanana hawawezi kuruka pamoja.
View: https://www.instagram.com/reel/DC4axKMoLta/?igsh=cm1pOGpud3B3YXJz
Baada ya kusema ukweli 😂😂Huyu siyo mke wa kuoa ila ni Malaya wa kisiasa. Kama anamkashifu mumewe hadharani atashindwa kumsaliti kwa kuzini nao, hao anaowaona wa maana. !!!!! Hafai.
Huyo jamaa ni kweli uongozi hauwezi. Kushindwa tu kuoa mke anaemfaa ni kushindwa kuuongoza nyumba yake tayar.Haya ndio Yale Yale ya Mr.Tumbili na Mke wake.
My Take: Mambo ya ndege wasiofanana hawawezi kuruka pamoja.
View: https://www.instagram.com/reel/DC4axKMoLta/?igsh=cm1pOGpud3B3YXJz
Hakuna ukweli hapo, ila ni siasa. Wanawake hutumika na kutumiwa vibaya. Wamewahi kukiri wenyewe.Baada ya kusema ukweli 😂😂
Kwani wanaume hawatumiki? Gen Z walikuwa wanamtumikia nani zaidi ya kina RAU?Hakuna ukweli hapo, ila ni siasa. Wanawake hutumika na kutumiwa vibaya. Wamewahi kukiri wenyewe.
Hata mfano haufanani. Kwani Gen Z walienda barabarani kuwakashifu wazazi/waume au wake wao. Neno "kutumika" na kutumiwa wenye akili wameelewa.Kwani wanaume hawatumiki? Gen Z walikuwa wanamtumikia nani zaidi ya kina RAU?