LGE2024 Songea: Mke (CCM) amkaanga Mumewe (CHADEMA) Kwamba Hawezi Uongozi Asichaguliwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huyu ni Mke wa mgombea kwa tiketi ya Chadema Mtaa wa Mfaranyaki, Manispaa ya Songea akimuombea kura Mgombea wa CCM akidai mume wake "hawezi".

Your browser is not able to display this video.
 
Wenzenu wametega mitego ya maokoto nyinyi mnapata shida. Nimeamini why mfalme Sulemani aliamua kuomba Hekima na Busara ambapo akili haiwezi kukaa mbali na mtu mwenye hekima na busara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…