Songea, Ruvuma: Watu 71 wanusurika kifo kwa kunywa togwa kwenye sherehe

Hapakuwa na Food tester, Sheria zetu zinasemaje kuhusu Vyakula vinavyoliwa kwa hadhara yani penye mkusanyiko? Viongozi wawe responsible mana hapo nadhani before umati wa watu haujawa served ilipaswa food tester mtu ale na anywe walau nusu saa kabla ya umati kupewa msosi
 
Huko kuna umasikini wa kutisha na ndo ilipo ngome ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…