dini ya kiislamu naiheshimu ila sijawahi kuielewaga kabisa hiyo dini na waumini wote waliomo humo sijui kilichoandikwa kwenye quran na wanavyoishi ni mambo mawili tofauti... uchawi wamo, ushirikina wamo, ugaidi wamo .. fekeche kibaopia wamo daaah aisee
dini ya kiislamu naiheshimu ila sijawahi kuielewaga kabisa hiyo dini na waumini wote waliomo humo sijui kilichoandikwa kwenye quran na wanavyoishi ni mambo mawili tofauti... uchawi wamo, ushirikina wamo, ugaidi wamo .. fekeche kibaopia wamo daaah aisee
Huwezi amini hizi mahakama za mbuzi na majaji wa kufanya kazi kwa vimemo, ndugu zetu bahati mbaya imewakuta tuu hakuna kesi hapo
Undani wake walitaka kufungwa miaka mingapi ???Mpumbavu hutak hata kuijua hii habari kwa undani wake
Kulikuwa na Jaji mmoja alikuwa Prof na ni mnyarwanda akawa Tz anakula rushwa na kufunga watanzania.Majaji ndio wale wanaofoji vyeti na kubadilisha majina.
Hao vijana ni masikini lakini wangalikuwa na kitu kidogo wangetoka huru
Ungejaribu wewe kwanza, mimi sina mawazo hayo wala uwezo wa kufanya hivyo. Naendelea kuhangaika kutafuta riziki yangu tena kwa njia za halali.Fanya hivi utakuja kunishukuru baadae.
Hapo nyumbani kwako, tafuta vijana kama 5 tu. Waambie unataka kupindua nchi, wape hela halafu fanya vikao 3 vinavyohusu kupindua nchi. Mdokeze jirani mbea mbea hivi akawambie polisi unafanya kikao cha kupindua nchi.
Kama haujafungwa mpaka uchakae na ndugu zako watakusahau. Fanya hivyo halafu ulete mrejesho si unasema mpaka jeshi.
Kitendo cha kukaa kikao na kupanga machafuko au kuanzisha jambo lolote ambalo litaleta uvunjifu wa amani ni kosa kishera na lazima uwajibishe.
Unataka mpaka uweje ndio wewe uone ni wa maana?Kwa taarifa hiyo hapo juu mahakama imeweka ushahidi gani wa maana!?