mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Kwa muda mrefu sana timu ya Majimaji imekuwa ikiendeshwa kienyeji hali ambayo imekuwa ikitupa hasira,majonzi, mateso na stress zisizokuwa na kikomo.
Timu imekuwa ikishuka daraja kirahisi na wanasiasa wanaipandisha kwenye uchaguzi.Kwa hali ilivyo ni bora timu hii ishuke daraja na ife kabisa kwa maana hakuna inachofanya.
Viongozi wamesajili utumbo mtupu, sijawahi kuona timu mbovu kama Majimaji.
Natoa wito kwa wanasongea tuipiganie JKT Mlale, wale ni wanajeshi hawataweza kutuangusha.
Tuachane na timu hii yenye asili ya vita vya Majimaji ambavyo babu zetu walionesha ari ya kuipigania nchi hii kinyume chake timu imekuwa ni daraja la kupitia kila timu.
Majimaji ni mbovu hata akiletwa GUADIOLA AU MOURINHO HAITASHINDA.
Timu imekuwa ikishuka daraja kirahisi na wanasiasa wanaipandisha kwenye uchaguzi.Kwa hali ilivyo ni bora timu hii ishuke daraja na ife kabisa kwa maana hakuna inachofanya.
Viongozi wamesajili utumbo mtupu, sijawahi kuona timu mbovu kama Majimaji.
Natoa wito kwa wanasongea tuipiganie JKT Mlale, wale ni wanajeshi hawataweza kutuangusha.
Tuachane na timu hii yenye asili ya vita vya Majimaji ambavyo babu zetu walionesha ari ya kuipigania nchi hii kinyume chake timu imekuwa ni daraja la kupitia kila timu.
Majimaji ni mbovu hata akiletwa GUADIOLA AU MOURINHO HAITASHINDA.