Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Vodacom ni Wezi na wapuuzi sana,wanaweka tuzo point,unafanya miamala ya zaidi ya milioni 2 kisha unakuja kupewa tuzo point 2000 ambazo haizidi hata Tsh 150.Jamani hii kitu inaitwa Songesha nini nini na inafanyaje kazi? Maana wao hawaaminiki maelezo yao siyaamini, haya makampuni ya simu ni wezi!
Dunia haiko Sawa! Hilo lielewe kabla ya chochote,! Kama maskini wanajadiliana we Tajiri unafata nn?Wachangiaji wa uzi huu wengi ni wakipato chini,yaani ntu awaza elfu tano apate elfu 20? Duh! ,pole zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi kapampun ya simu huyaamini utakuwa una kilema kichwani sio bure kila siku kulalamika kama mjaneJamani hii kitu inaitwa Songesha nini nini na inafanyaje kazi? Maana wao hawaaminiki maelezo yao siyaamini, haya makampuni ya simu ni wezi!
kamuuloize mama yako kama nashindwa kazi kwa ajili ya kilema kichwani, she has a good analysis of me!Hadi kapampun ya simu huyaamini utakuwa una kilema kichwani sio bure kila siku kulalamika kama mjane
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app