Ongea kuhusu pesa
Senior Member
- Nov 20, 2018
- 112
- 80
Watoto wangu sitowaambia elimu ni msingi wa maisha. Bali pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani IV 26 hupati shule binafsi?Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Daraja la IV la alama 26 katika matokeo ya Kidato cha 4 yalitolewa jana
Michael amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la kwanza ila matarajio yake hayakutimia
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Ahmed Ramadhan amesema Mgonjwa huyo amepatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri
Watu wa mikoani mnasoma mkiwa na umri mkubwa Yani miaka 20 ndo anamaliza form four
huna akili itakuwa ulisoma chuo cha utalii, iyo six unamaliza na miaka 20 kamili ama na miezi kadhaa hadi kuanza chuo unajikuta una 21Acha kuandika utumbo..... Kwani ukimaliza form six na miaka 20 inachukua miaka mingapi kuanza chuo?! Si ni miezi michache tu..... Mimi nilianza chuo nikiwa na miaka 20 na form six nilimaliza nikiwa na miaka hiyo hiyo 20. Nilimaliza form six mwezi wa 5 kama sijakosea maana ni miaka mingi imepita, ilikuwa mwaka 2007 na mwaka huo huo 2007 mwezi wa 10 nikaingia chuo. Wewe ndo uache ubwege!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi jua sababu, usihukumu.Watu wa mikoani mnasoma mkiwa na umri mkubwa Yani miaka 20 ndo anamaliza form four
Sijahukumu nimeshangaa tuHuwezi jua sababu, usihukumu.
Kama ni kweli, basi unaweza kushangaa mtu kuzaliwa mlemavu!Sijahukumu nimeshangaa tu
Nimecheka japo inahuzunishaWatu wa mikoani wameanza kuchoka kazi ngumu na wao wanapenda kukaa maofisini kama watu wa Dar
Kwani alikuwa anafaulu kwenye testi zake za shule? Tungepatiwa historia yake ya maendeleo yake shulenin tokea kidato cha kwanza hadi cha nne tungemsupport kusikitika kama yalikuwa mazuri. Unategemea 1 halafu upate 4? Mii hainingii akilini hii!!!Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Daraja la IV la alama 26 katika matokeo ya Kidato cha 4 yalitolewa jana
Michael amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la kwanza ila matarajio yake hayakutimia
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Ahmed Ramadhan amesema Mgonjwa huyo amepatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri