Pre GE2025 Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu yote miwili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbuba amesema CCM Wilaya ya Ileje inalaani kitendo hicho, huku akiwataka wanasiasa na watu wa kada zote kuacha kujichukulia sheria mkononi.
Wajaribu kuwacheck wale jamaa wanaokujaga na Noah labda aligoma kuingia kwenye Noah km ilivyotokea kwa Deo Bonge wakaona acha wamvunje miguu tu mbwakalambwa
 
Ni siasa au kuna mambo mengine? Inasikitisha sana.
 
Si ninyi mlisema mtawapoteza watu mkaachwa na kuna watu wamepotea mpaka leo, mlitegemea nini
 
Wao safi sana MUNGU MKUBWA inatakiwa wasiojulikana WAWE wanapiga kote kote
 
Karibu tunafika walipopataka CCM.
 
Naona kuna Task force ya jamiii kushughulika na CCM imeanzishwa. Hawa CCM huwa wanawacheka wapinzani na wakosoaji wa serikali wakitekwa na kuuwawa utadhani wenyewe wanalindwa na malaika gani sijui. Watanzania ni wastaarabu tu illa ingekuwa ni kufanyiana ubaya ubaya wangejua maumivu ya upande wa pili yakoje
 
Haya ni mambo ya ajabu sana..Sisi ni watanzania,kwanini utofauti wetu wa kiitikadi za kisiasa utufanye tutake kutoana roho hivi?
 
Kifo ni kifo TU, RIP CCM
 
Chakadomozzzz kimyaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…