LGE2024 Songwe: UVCCM umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi cha kampeni na uchaguzi

LGE2024 Songwe: UVCCM umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi cha kampeni na uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Uongozi wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Songwe, umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi chote cha kampeni pamoja na siku ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mtaa, utakaofanyika Novemba 27, 2024 huku ukiwatahadharisha waliojipanga kuvuruga zoezi hilo.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Bi. Fatuma Hussein, ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wafuasi wa chama hicho kwenye kampeni katika mji wa Tunduma wilayani Momba.

 
Tangu lini vyama vingine vikaondoa amani hapa Tanzania zaidi ya ccm yenyewe??
 
Back
Top Bottom