Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Uongozi wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Songwe, umevitaka vyama vingine vya siasa kudumumisha amani katika kipindi chote cha kampeni pamoja na siku ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mtaa, utakaofanyika Novemba 27, 2024 huku ukiwatahadharisha waliojipanga kuvuruga zoezi hilo.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Bi. Fatuma Hussein, ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wafuasi wa chama hicho kwenye kampeni katika mji wa Tunduma wilayani Momba.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Bi. Fatuma Hussein, ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wafuasi wa chama hicho kwenye kampeni katika mji wa Tunduma wilayani Momba.