Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe.
Your browser is not able to display this video.
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”
Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Siasa laini kamwe haziwezi iondoa CCM madarakani
Kwenye kata ninayo ishi hakuna mgombea wa chama cha upinzani ata mmoja amepita wote wamekatwa ni CCM tu wamepita
ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani
Tunahitaji kitu kingine/njia mbadala wa kuikomboa Tanganyika toka kwa wauaji weusi! "Armed strugle" kama ilivyokuwa kwa ukombozi wa afrika from the whites, sasa inabidi iwe "Armed strugle" kuwaondoa wakoloni /makaburu /wauaji weusi wenzetu
Tunahitaji kitu kingine/njia mbadala wa kuikomboa Tanganyika toka kwa wauaji weusi! "Armed strugle" kama ilivyokuwa kwa ukombozi wa afrika from the whites, sasa inabidi iwe "Armed strugle" kuwaondoa wakoloni /makaburu /wauaji weusi wenzetu
Tunahitaji kitu kingine/njia mbadala wa kuikomboa Tanganyika toka kwa wauaji weusi! "Armed strugle" kama ilivyokuwa kwa ukombozi wa afrika from the whites, sasa inabidi iwe "Armed strugle" kuwaondoa wakoloni /makaburu /wauaji weusi wenzetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe. View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”
Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Tunahitaji njia mbadala wa kuwaondoa wakoloni/wauaji/makaburu weusi nchini. Kama ukombozi wa frika ulitokana na "Armed strugle|, lkewise na kwa Taganyika tulipofikia tunahitaji "armed strugle"!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe. View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”
Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Tunahitaji njia mbadala wa kuwaondoa wakoloni/wauaji/makaburu weusi nchini. Kama ukombozi wa frika ulitokana na "Armed strugle|, lkewise na kwa Taganyika tulipofikia tunahitaji "armed strugle"!
Mihemuko ya chama dola kongwe na matumizi mabaya ya vyombo vya usalama
Unavizia msafara maporini na kusingizia kuvunja sheria za kufanya mkutano kinyume na kanuni za TAMISEMI wakati wakiwa porini hawajafika mjini katika eneo la mkutano wa kampeni:
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani kuelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wake ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya watu kwa mabomu ya machozi.
Imeelezwa, magari yameharibiwa kwa kuvunjwa vioo, watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya, wamepoteza simu na fedha.
Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mbowe.
Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi.
Ilikuwa nia yao wasinye kampeni huko songwe basi maana kumkamata mtu bila kumfikisha mahakani ni zaidi ya ujambazi na siku nyingine mbowe aachane na maridhiano
CDM muanze kujitetea sasa, jamaa wanawaonea sana..nadhani mmekuwa wapole sana..njooni na MIPANGO ya kupinga huu unyanyasaji..kajifunzeni hata Kenya hapo, Raila alifanya nini?.. au nendeni Msumbiji muone Mondlane anavyowachezesha KWATA Frelimo...AMKENI
Tunahitaji kitu kingine/njia mbadala wa kuikomboa Tanganyika toka kwa wauaji weusi! "Armed strugle" kama ilivyokuwa kwa ukombozi wa afrika from the whites, sasa inabidi iwe "Armed strugle" kuwaondoa wakoloni /makaburu /wauaji weusi wenzetu
Tunahitaji kitu kingine/njia mbadala wa kuikomboa Tanganyika toka kwa wauaji weusi! "Armed strugle" kama ilivyokuwa kwa ukombozi wa afrika from the whites, sasa inabidi iwe "Armed strugle" kuwaondoa wakoloni /makaburu /wauaji weusi wenzetu
Unatafuta jambo gumu zaidi wakati jepesi hata bado hujalitumia?
Kama chama kinashindwa kutumia mtaji wake mkuu wa wanachama mamilioni kuonyesha uwepo wake; itawezekana vipi hiyo "Armed struggle" unayo isema hapa!