LGE2024 Songwe: Viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti Usiku

LGE2024 Songwe: Viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti Usiku

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Unatafuta jambo gumu zaidi wakati jepesi hata bado hujalitumia?
Kama chama kinashindwa kutumia mtaji wake mkuu wa wanachama mamilioni kuonyesha uwepo wake; itawezekana vipi hiyo "Armed struggle" unayo isema hapa!
🙋‍♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏🏅🗼
 
Mdude anahusika, kwanza alishatishia kuua zaidi ya mara moja, jumba bovu limuhusu. Apelekwe Mahakamani hata ijumaa ijayo baada ya uchaguzi, na ili apelekwe mpaka habeas corpus ifanywe Mahakamani.

Achekechwe kwa miezi kama 12, maana ni muhalifu.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe.
View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”

Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Soma Pia: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Kwa nini ccm haiwezi kujibu hoja wanakimbikia polisi???
Kwa nini polisi wabajipendekeza kwa ccm ?,
 
Mkuu kwa dunia ya sasa hiyo mbinu haikupeleki popote.

Njia pekee ni kuwaondoa viongozi mapandikizi na kutumia mbinu ya maandamano ya amani na migomo inapobidi!!

Wiki mbili tu uone kama watawala hawataita maridhiano.
Yaani niache shughuli zangu zinazonipa ugali nikaandamane ili Lissu na Mbowe wakae meza kuu, watanzania hatuba ujinga huo
 
Yaani niache shughuli zangu zinazonipa ugali nikaandamane ili Lissu na Mbowe wakae meza kuu, watanzania hatuba ujinga huo
Mkuu ni maoni na uhuru wako kama ulivyo uhuru na maoni ya wengine kufanya hivyo.

Kwenye harakati za ukombozi kukutana na watu sampuli yako haishangazi kiviiile!!!
 
Mdude anahusika, kwanza alishatishia kuua zaidi ya mara moja, jumba bovu limuhusu. Apelekwe Mahakamani hata ijumaa ijayo baada ya uchaguzi, na ili apelekwe mpaka habeas corpus ifanywe Mahakamani.

Achekechwe kwa miezi kama 12, maana ni muhalifu.
Mkuu sema ni mtuhumiwa, mbona unahitimisha kuwa ni muhalifu wakati huo huo unasema achekechwe???

Inaelekea una ugomvi naye binafsi, kakufanyaje wewe binafsi??
 
CHADEMA ni genge la wahuni kitambo sana. Ndio maana Mchungaji Msigwa aliachana nao.
 
Mkuu ni maoni na uhuru wako kama ulivyo uhuru na maoni ya wengine kufanya hivyo.

Kwenye harakati za ukombozi kukutana na watu sampuli yako haishangazi kiviiile!!!
Unakomboa nini? Nchi ilishakombolewa Disemba 9 1961
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe.
View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”

Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Soma Pia: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Sasa hii ndio kazi za R's ama?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe.
View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”

Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Soma Pia: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
Wanamuachilia Mdude wa nini? Niliona amepewa ngumu ya uso 😂😂
 
Unakomboa nini? Nchi ilishakombolewa Disemba 9 1961
Mkuu nchi haikukombolewa pitia rejea kikamilifu, nchi ilikabidhiwa kwa mchonga kwa sababu muda ulikuwa umewadia.

Kama ilivyokabidhiwa kwa waingereza kutoka kwa wajerumani chini ya UNO.
 
CHADEMA ni genge la wahuni kitambo sana. Ndio maana Mchungaji Msigwa aliachana nao.
Mkuu kama ndivyo, basi Msigwa atakuwa ni kiongozi mkuu kwenye kada hiyo!! Maana kafuzu kuingia chuo kikuu kilichobobea kwenye nyanja hiyo
 
Agenda ya vurugu na drama ni agenda ambayo chakademus wanaipatia sana
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu saa 12:54, Viongozi wa Chama hicho akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti na Polisi Mkoani Songwe.
View attachment 3159222
Mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa CHADEMA Jon Mrema amesema “Mdude hajaachiwa, RPC Kasema Wana mahojiano naye pamoja na Mtu mmoja ambaye aliumizwa vibaya na Polisi, tunaendelea kufuatilia hali ya afya ya Mdude”

Itakumbukwa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe jana November 22,2024 lilitoa taarifa kuwa linawashikilia Wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge Mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa Habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, Mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Soma Pia: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, Mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, Mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Polisi ilisema “Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe November 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo Askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo Askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi Askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendela na matibabu Hospitali ya Wilaya ya Mbozi”
wajifunze kuheshimu ratiba za kampeni, na kutii utaratibu na maelekezo ya vyombo vya ulinzi, sio kujiamilia tu kwa kuchochewa na kiburi naeujasiri wa pombe..


Muhimu zaidi, waepuke kutumia kilevi kabla ya kuanza kampeni. Wafanye hivyo baada na itapendeza zaidi 🐒
 
Back
Top Bottom