Songwe: Vyoo vya Kituo cha Mabasi Mpemba Tunduma vyarekebishwa

Songwe: Vyoo vya Kituo cha Mabasi Mpemba Tunduma vyarekebishwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Vyoo vinavyotumiwa na Wanaume katika Kituo cha Mabasi cha Mpemba kilichopo Tunduma vimerekebishwa na sasa vinatumika.

Awali, Mdau wa JamiiForums.com alisema kati ya sehemu 10 zinazotumika kwa haja ndogo ni 3 tu ndio zinatumiwa, nyingine ni mbovu.

MKURUGENZI – TUNDUMA
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hamashauri ya Mji wa Tunduma, Mariam Chaurembo, Mariam Chaurembo amesema “Changamoto ilikuwa katika njia ya kupitisha haja ndogo, Mhandisi akatindua na kubaini tatizo, tayari limerekebishwa na sasa vinatumika vizuri.”

Ameongeza “Changamoto hiyo ilikuwepo kwa muda wa wiki mbili, hivyo ikazuiwa kutumika ili kurekebisha, nitoe wito kwa watumiaji nao watumie kwa usahihi kwa kuwa mifumo ya vyoo inapoharibika ni rahisi hata kutokea mlipuko wa magonjwa mbalimbali.”
WhatsApp Image 2024-10-05 at 09.26.05_889ca3d1.jpg

WhatsApp Image 2024-10-05 at 09.26.03_dc27f909.jpg
Kuona ilivyokuwa awali, bofya hapa ~ Vyoo kituo cha mabasi Mpemba Tunduma ni vibovu, wahusika rekebisheni

20240922_123021.jpg

Ilivyokuwa awali
 
Vyoo vinavyotumiwa na Wanaume katika Kituo cha Mabasi cha Mpemba kilichopo Tunduma vimerekebishwa na sasa vinatumika.

Awali, Mdau wa JamiiForums.com alisema kati ya sehemu 10 zinazotumika kwa haja ndogo ni 3 tu ndio zinatumiwa, nyingine ni mbovu.

MKURUGENZI – TUNDUMA
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hamashauri ya Mji wa Tunduma, Mariam Chaurembo, Mariam Chaurembo amesema “Changamoto ilikuwa katika njia ya kupitisha haja ndogo, Mhandisi akatindua na kubaini tatizo, tayari limerekebishwa na sasa vinatumika vizuri.”

Ameongeza “Changamoto hiyo ilikuwepo kwa muda wa wiki mbili, hivyo ikazuiwa kutumika ili kurekebisha, nitoe wito kwa watumiaji nao watumie kwa usahihi kwa kuwa mifumo ya vyoo inapoharibika ni rahisi hata kutokea mlipuko wa magonjwa mbalimbali.”
Kuona ilivyokuwa awali, bofya hapa ~ Vyoo kituo cha mabasi Mpemba Tunduma ni vibovu, wahusika rekebisheni

View attachment 3115830
Ilivyokuwa awali
Asante sana Roving Journalist kwa feedback hii. Mie ndio niliweka uzi wa ubovu wa vyoo hivyo, baada ya kupita hapo nikielekea nchini Zambia. Nichukue nafasi hii kupongeza uongozi wa halmashauri ya mji wa Tunduma kwa lifanyia kazi kwa haraka suala hili!
 
Vyoo vinavyotumiwa na Wanaume katika Kituo cha Mabasi cha Mpemba kilichopo Tunduma vimerekebishwa na sasa vinatumika.

Awali, Mdau wa JamiiForums.com alisema kati ya sehemu 10 zinazotumika kwa haja ndogo ni 3 tu ndio zinatumiwa, nyingine ni mbovu.

MKURUGENZI – TUNDUMA
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hamashauri ya Mji wa Tunduma, Mariam Chaurembo, Mariam Chaurembo amesema “Changamoto ilikuwa katika njia ya kupitisha haja ndogo, Mhandisi akatindua na kubaini tatizo, tayari limerekebishwa na sasa vinatumika vizuri.”

Ameongeza “Changamoto hiyo ilikuwepo kwa muda wa wiki mbili, hivyo ikazuiwa kutumika ili kurekebisha, nitoe wito kwa watumiaji nao watumie kwa usahihi kwa kuwa mifumo ya vyoo inapoharibika ni rahisi hata kutokea mlipuko wa magonjwa mbalimbali.”
Kuona ilivyokuwa awali, bofya hapa ~ Vyoo kituo cha mabasi Mpemba Tunduma ni vibovu, wahusika rekebisheni

View attachment 3115830
Ilivyokuwa awali
Hivi msimamizi wa hivyo vyoo Bado yupo kazini anapokea mshahara,??????

Magufuri tunakukumhuka mambo kama haya hukuwa na masihara nayo kabisaa
 
Vyoo vya kukojolea ni kitu cha kulalamikia?
Kwa nini msikojoe maporini?
 
Kuna vyoo viko hapo mahakama ya mwanzo ukonga banana ni vile tu sikupata kupiga picha ni aibu sana kuona Kuna maafisa wanasimamia lile jengo na vyoo vile hata kuita gari kuja kuvuta kinyesi wanashindwa
 
Vyoo vya kukojolea ni kitu cha kulalamikia?
Kwa nini msikojoe maporini?
Tlishaacha kuchimba dawa maporini. Unaishi nchi gani wewe? By the way tunalipia, hatujisaidii bure
 
Back
Top Bottom