Pre GE2025 Songwe yabubujikwa na machozi ya furaha na kumshukuru Rais Samia baada ya kupewa Majiko ya Gesi ya Ruzuku

Pre GE2025 Songwe yabubujikwa na machozi ya furaha na kumshukuru Rais Samia baada ya kupewa Majiko ya Gesi ya Ruzuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.

Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.


Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.

Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
1000022341.gif
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.

Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.

Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.

Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania,Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama .

Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.View attachment 3234447

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Picha ya hayo machozi? Umejuaje kama mitungi imejaa hadi juu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.

Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.

Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.

Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania,Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama .

Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.View attachment 3234447

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na gas
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.

Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.

Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.

Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania,Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama .

Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.View attachment 3234447

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na ges ikiisha wanajaziwa au
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.

Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.

Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.

Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania,Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama .

Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.View attachment 3234447

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yaelekea kuna makapuku wengi sana huko Songwe
 
Huna akili kabisa, jiko la gas unaona ni maendeleo? shetani mkubwa wewe
Ungewauliza wanawake wenzako adha za kupikia kuni mbichi zinazotoa moshi muda wote na athari zake kiafya . Sasa najua huwezi kuelewa kwa sababu moshi Umeshakujaa kichwani na kukuathiri akili.
 
eti bwana lucas kama watu hawakuwa na uwezo wa kununua majiko ya gesi kwa pesa zao, gas ikiwaishia wataweza kuijaza kweli ??...

Shida ni kupata gas au uwezo wa kununua kila mara inapoisha au kuna mpango wowote wa kuhakikisha wananchi wana uwezo kumudu gharama za gas
 
Ungewauliza wanawake wenzako adha za kupikia kuni mbichi zinazotoa moshi muda wote na athari zake kiafya . Sasa najua huwezi kuelewa kwa sababu moshi Umeshakujaa kichwani na kukuathiri akili.
Kwamba Msongwe hamjawahi kuwa na majiko ya gas? nyie ni masikini haswa ndiyo maana hata wewe huna akili sababu unatoka Songwe
 
eti bwana lucas kama watu hawakuwa na uwezo wa kununua majiko ya gesi kwa pesa zao, gas ikiwaishia wataweza kuijaza kweli ??...

Shida ni kupata gas au uwezo wa kununua kila mara inapoisha au kuna mpango wowote wa kuhakikisha wananchi wana uwezo kumudu gharama za gas
Unafahamu mtungi wa Gas na gas yake ndani ni shilingi ngapi dukani au kwa wakala?
 
Back
Top Bottom