Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpuuzi hana akili ni shetani kabisaUkulima ni kazi ya kutukuka toka kwa mwenyezimungu. Mtu anayesapoti ushetani hawezi kuwa mkulima hata siku moja.
Hiki kiwango ulichotumia kuwaza na kuuliza swali, kinazadi uwezo alionao Luka.eti bwana lucas kama watu hawakuwa na uwezo wa kununua majiko ya gesi kwa pesa zao, gas ikiwaishia wataweza kuijaza kweli ??...
Shida ni kupata gas au uwezo wa kununua kila mara inapoisha au kuna mpango wowote wa kuhakikisha wananchi wana uwezo kumudu gharama za gas
Hakuna mtu asiye na akili anaweza kutoka tofauti na SongweUwe na adabu dogo .
Kwani wewe kama siyo kipofu wa macho na akili unaweza vipi kushindwa kujua mtungi wenye gas ndani yake na uliojaa?Picha ya hayo machozi? Umejuaje kama mitungi imejaa hadi juu
Na unaijua bei ya kuni??...Unafahamu mtungi wa Gas na gas yake ndani ni shilingi ngapi dukani au kwa wakala?
Unataka nishangilie kuni Mbichi?Huoni aibu kushangilia jiko kwenye ulimwengu wa AI? Shetani mkubwa wewe
Luka ana akili sana ni vile tu inabidi malengo yafikiweHiki kiwango ulichotumia kuwaza na kuuliza swali, kinazadi uwezo alionao Luka.
Jibu swali langu acha kuruka ruka kama kunguru.Na unaijua bei ya kuni??...
Je vina match
Mama anaendelea kuleta tabasamu na furaha kwa watanzaniaSawaa bhanaa tusemjee sasa cc ,wakatii mlioshikaa mpini n nyie na mama ...
Acha wivu wako hapa wewe. Unajua namna watu walivyokuwa wakiteseka kwa kupikia kuni mbichi zenye kutoa moshi muda wote kama gari bovu.Masikini wakubwa wa mali na akili nyie.
Yani kitu basic kama cylinder ya gesi ya kupikia ndio mnaweka bango kutoa pongezi?
Nazijua bei zake kwa sababu natumia. Kuna mtungi wa gesi utaujaza chini ya 19,000 ?...Jibu swali langu acha kuruka ruka kama kunguru.
Kwani Trump ni Nani katika Taifa letu?Kwahiyo kwamba Samia ni chaguo la Mungu sio?sasa unadhani rais yupi alikuwa chaguo au mteule wa shetani? hovyo kweli
Unasahau hadi Saul kabla ya king David alikuwa mteule wa Mungu lakini unajua nini kilimkuta?subiri Trump gia aliyoanza nayo asipobadilisha mbona machozi yakububujikwa yataisha tu
Kwa ivo wewe umo ndani ya hiyo mitungi ya gesi😃😀😅Kwani wewe kama siyo kipofu wa macho na akili unaweza vipi kushindwa kujua mtungi wenye gas ndani yake na uliojaa?
Acha umbumbumbu wako hapa wewe. Jibu swali mtungi wa gas uliojaa kabisa unanunuliwa shilingi ngapi dukani au kwa wakala?Nazijua bei zake kwa sababu natumia. Kuna mtungi wa gesi utaujaza chini ya 19,000 ?...
Na hapo huwezi kuinjika makande wala maharage zaidi ya kupikia vitu vinavyoiva kwa uharaka..
Hapa sizungumzii siasa zako Ila angalia sustainability
Mjinga mkubwa wewe tangu umeanza kusimamia uchaguzi 2020 hujawahi kununua jiko la gas elf 40?Unataka nishangilie kuni Mbichi?