Akili za huyu Luka ni dhair aliyemzaa anamuita Bi mkubwa! Jina Mama yeye anadhani ni Cheo cha Samia!USAID ni nini katika taifa lenu? Bajeti yako wewe mpaka unapata muda wa kuita mzazi wa Wanu na Abdul mama yako unajua mfadhili ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za huyu Luka ni dhair aliyemzaa anamuita Bi mkubwa! Jina Mama yeye anadhani ni Cheo cha Samia!USAID ni nini katika taifa lenu? Bajeti yako wewe mpaka unapata muda wa kuita mzazi wa Wanu na Abdul mama yako unajua mfadhili ni nani?
Huyu kuna muda nawaza ni roboti sio binadamu(ndio kuna watu siku hizi wanajiita sijui chawa,wapambe lakini huyu kapitiliza sasa)Akili za huyu Luka ni dhair aliyemzaa anamuita Bi mkubwa! Jina Mama yeye anadhani ni Cheo cha Samia!
Wewe taahira kabisa.Watu Siyo vichaa kama wewe.
Wewe ndiye taahiraWewe taahira kabisa.
Mimi siyo chawaHuyu kuna muda nawaza ni roboti sio binadamu(ndio kuna watu siku hizi wanajiita sijui chawa,wapambe lakini huyu kapitiliza sasa)
Hakuna athari zozote huu huwa ni UONGO wa wanasiasa uchwara unaotumika siku za hivi karibuni ili kutimiliza agenda zao,...hivi wee hujiulizi babu zako wametumia kuni na mkaa toka enzi za ujana wao mpaka wakawazaa wazazi wako bila kupata hayo madhara, haya wazazi wako wametumia kuni na mkaa mpaka wamekupata wewe hawajapata hayo madhara, wewe mwenyewe(kichwa box) naamini umetumia na unaendelea kutumia hizo kuni na mkaa lakini hayo madhara huna,anyway uzuri matumizi ya kuni na mkaa hayatakoma,uwe na gesi usiwe nayo bado utayahitajiUngewauliza wanawake wenzako adha za kupikia kuni mbichi zinazotoa moshi muda wote na athari zake kiafya . Sasa najua huwezi kuelewa kwa sababu moshi Umeshakujaa kichwani na kukuathiri akili.
Sikiliza Mama nikwambie kitu. Hivi unafahamu ni kiasi gani misitu inateketea kwa sababu ya kuni na uchomaji mkaa?Hakuna athari zozote huu huwa ni UONGO wa wanasiasa uchwara unaotumika siku za hivi karibuni ili kutimiliza agenda zao,...hivi wee hujiulizi babu zako wametumia kuni na mkaa toka enzi za ujana wao mpaka wakawazaa wazazi wako bila kupata hayo madhara, haya wazazi wako wametumia kuni na mkaa mpaka wamekupata wewe hawajapata hayo madhara, wewe mwenyewe(kichwa box) naamini umetumia na unaendelea kutumia hizo kuni na mkaa lakini hayo madhara huna,anyway uzuri matumizi ya kuni na mkaa hayatakoma,uwe na gesi usiwe nayo bado utayahitaji
Mimi siyo VEO bali ni mkulimaLucas, VEO Huko Sikuwa Najua
We chawa mwambie huyo mama yako anapogawa hiyo mitungi kwa hao wapumbavu awe anawapa na pesa ya kujaza gesi kila itakapokuwa inaisha laa sivyo hiyo mitungi itabaki kuwa skrepa ya vyuma kila siku....hopeless chawa.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ndiye mpumbavu usiye na akiliWe chawa mwambie huyo mama yako anapogawa hiyo mitungi kwa hao wapumbavu awe anawapa na pesa ya kujaza gesi kila itakapokuwa inaisha laa sivyo hiyo mitungi itabaki kuwa skrepa ya vyuma kila siku....hopeless chawa.
Kwa thinking capacity yako ww chawa huwezi kuelewa hicho nilichoandika hapo.Wewe ndiye mpumbavu usiye na akili
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Akina Lucas MwashambwaSio huko wanapoishi Wachuna ngozi na wachapa nondo?!
Village Executive OfficerLucas, VEO Huko Sikuwa Najua
Acha uongo wako hapa weweVillage Executive Officer
Miungu watu hawa ukiwakuta kwenye maeneo yao.