CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
HABARI MBUNGE VITI MAALUM CUF PIA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA HANDENI MJINI MHE. SONIA MAGOGO AIVURUGA HANDENI MJINI, AZUNGUKA KILA KATA KUIMARISHA CHAMA.
Pichani ni kata ya kidereko ambapo alifanya mkutano wa ndani na Viongozi wa kata hiyo na kukutana na Baadhi ya Wanachama katika Kata hiyo
Pia alikutana na Mgombea wa Udiwani Kata ya Kidereko.
#SoniaMagogoZiaraniHandeniMjini
Pichani ni kata ya kidereko ambapo alifanya mkutano wa ndani na Viongozi wa kata hiyo na kukutana na Baadhi ya Wanachama katika Kata hiyo
Pia alikutana na Mgombea wa Udiwani Kata ya Kidereko.
#SoniaMagogoZiaraniHandeniMjini