MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Wanapelekwa makao ya kuwashauri na kuwasaidia kuondokana na mateso ya kuomba omba barabarani, sasa sijui kama hao Watanzania ambao ndio wengi watarudishwa kwao au itakua vipi, maana wengi hurudishwa na baada ya wiki moja wanaibuka Nairobi tena.
Kitu sijawahi kuelewa, tumezungukwa na mataifa ambayo yamepitia misukosuko ya kila aina, Sudan, Somalia n.k. lakini haijatokea hata siku moja raia wao wakaishia kuomba omba kwenye barabara za Kenya, lakini taifa ambalo ambalo huwa tunaambiwa ndio kisiwa cha amani, asali na maziwa ila raia wake wamejaa huku wanaomba na kuishi maisha ya aibu.
The number of street beggars netted by the Nairobi County Enforcement Unit in the city's CBD has increased to over 200 since the operation started early this morning. Speaking at Waithaka Rehabilitation Center where the group is undergoing counselling, Youth and Social Services CEC Janet Ouko said 80 per cent of the beggars are disabled with majority of them being foreigners from neighboring countries like Tanzania.
City Hall Head of Inspectorate Peter Mbaya says the operation will be continuous since the CBD has been declared "beggars-free zone".
Read more at: Nairobi CBD operation update:200 street beggars netted
Kitu sijawahi kuelewa, tumezungukwa na mataifa ambayo yamepitia misukosuko ya kila aina, Sudan, Somalia n.k. lakini haijatokea hata siku moja raia wao wakaishia kuomba omba kwenye barabara za Kenya, lakini taifa ambalo ambalo huwa tunaambiwa ndio kisiwa cha amani, asali na maziwa ila raia wake wamejaa huku wanaomba na kuishi maisha ya aibu.
The number of street beggars netted by the Nairobi County Enforcement Unit in the city's CBD has increased to over 200 since the operation started early this morning. Speaking at Waithaka Rehabilitation Center where the group is undergoing counselling, Youth and Social Services CEC Janet Ouko said 80 per cent of the beggars are disabled with majority of them being foreigners from neighboring countries like Tanzania.
City Hall Head of Inspectorate Peter Mbaya says the operation will be continuous since the CBD has been declared "beggars-free zone".
Read more at: Nairobi CBD operation update:200 street beggars netted