Prince Chapee
Senior Member
- Jul 31, 2017
- 179
- 126
Acha waombe Ila wasiibe
Ile mstari si unasema " ombeni mtapewa "
Ile mstari si unasema " ombeni mtapewa "
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru kaiba wapi tene ila maraisi wa Afrika ni wakora almost all ov zemWakenya hawaombi..Wao huiba, hata Rais ni mwizi hali jasho lake 😀
Labda walijifunza toka kwa mkulu aliyepita.Wanapelekwa makao ya kuwashauri na kuwasaidia kuondokana na mateso ya kuomba omba barabarani, sasa sijui kama hao Watanzania ambao ndio wengi watarudishwa kwao au itakua vipi, maana wengi hurudishwa na baada ya wiki moja wanaibuka Nairobi tena.
Kitu sijawahi kuelewa, tumezungukwa na mataifa ambayo yamepitia misukosuko ya kila aina, Sudan, Somalia n.k. lakini haijatokea hata siku moja raia wao wakaishia kuomba omba kwenye barabara za Kenya, lakini taifa ambalo ambalo huwa tunaambiwa ndio kisiwa cha amani, asali na maziwa ila raia wake wamejaa huku wanaomba na kuishi maisha ya aibu.
![]()
The number of street beggars netted by the Nairobi County Enforcement Unit in the city's CBD has increased to over 200 since the operation started early this morning. Speaking at Waithaka Rehabilitation Center where the group is undergoing counselling, Youth and Social Services CEC Janet Ouko said 80 per cent of the beggars are disabled with majority of them being foreigners from neighboring countries like Tanzania.
City Hall Head of Inspectorate Peter Mbaya says the operation will be continuous since the CBD has been declared "beggars-free zone".
Read more at: Nairobi CBD operation update:200 street beggars netted
Hahaha. 😀 Madenge huyo. Chizi flani hivi.Uhuru kaiba wapi tene ila maraisi wa Afrika ni wakora almost all ov zem
Kuna omba omba mmoja Yupo Nairobi ila amejenga kigamboni na kwao dodoma na amemnunulia dada yake coastal na Noah.
Wakenya jinga kabisa
Rafiki kazi ni kazi, kuna wanao osha maiti na wanao kwamua choo. Utashangaa sana hawa wa Tz wanao omba omba wako na mihela kuliko wewe umekaa hapo kwa kiti chako umeajiriwa na serikali 😀
Kenya hata Raisi hataki kufanya kazi apate riziki yake, anataka aibe..System ya majambazi at work here 😀uvivu ndio kisa cha mambo haya yote...mtu hataki kufanya kazi anataka tu aombe ombe...ujamaa system at work there
😀😀😀😀this is funny i must admitKenya hata Raisi hataki kufanya kazi apate riziki yake, anataka aibe..System ya majambazi at work here 😀
😀😀😀😀export number 1This is the only thing Tanzania feeds Kenya.. omba omba
It is their primary export to Kenya.
Ati wajinga nyinyi ni maroho chafu,backstabbing kind of peeps, nikama panya anakuuma then anakupuliza, inhumans albino karibu mmalize wote aiiseeeKuna omba omba mmoja Yupo Nairobi ila amejenga kigamboni na kwao dodoma na amemnunulia dada yake coastal na Noah.
Wakenya jinga kabisa
Kama 1.5 trillion za magu,Kenya hata Raisi hataki kufanya kazi apate riziki yake, anataka aibe..System ya majambazi at work here 😀
Come on. You are more intelligent than this!Mibongo ni minjanja sana, kwao chakula kipo kwa wingi lakini wanajaa humu kuchukua pesa ya wakenya. Same case with JPM, he actually can take loans from EuroBond and has a higher credit rating than kenya but he settles for cheap WB loans and Grants!
By the way, Kenyan are 3rd most generous country in the world, Tanzanians Must be Making a fortune here..Shrewdly posing as 'poor' and exploiting stupid kenyans!
Kenyans among top 3 most generous people worldwide - Nairobi News