Sonko awakusanya omba omba Nairobi, wengi wasemekana kutokea Tanzania

Sonko awakusanya omba omba Nairobi, wengi wasemekana kutokea Tanzania

Wanapelekwa makao ya kuwashauri na kuwasaidia kuondokana na mateso ya kuomba omba barabarani, sasa sijui kama hao Watanzania ambao ndio wengi watarudishwa kwao au itakua vipi, maana wengi hurudishwa na baada ya wiki moja wanaibuka Nairobi tena.

Kitu sijawahi kuelewa, tumezungukwa na mataifa ambayo yamepitia misukosuko ya kila aina, Sudan, Somalia n.k. lakini haijatokea hata siku moja raia wao wakaishia kuomba omba kwenye barabara za Kenya, lakini taifa ambalo ambalo huwa tunaambiwa ndio kisiwa cha amani, asali na maziwa ila raia wake wamejaa huku wanaomba na kuishi maisha ya aibu.

thumb_nefwcrsbyteha2mzyxg5afd44db0fab5.jpg

The number of street beggars netted by the Nairobi County Enforcement Unit in the city's CBD has increased to over 200 since the operation started early this morning. Speaking at Waithaka Rehabilitation Center where the group is undergoing counselling, Youth and Social Services CEC Janet Ouko said 80 per cent of the beggars are disabled with majority of them being foreigners from neighboring countries like Tanzania.

City Hall Head of Inspectorate Peter Mbaya says the operation will be continuous since the CBD has been declared "beggars-free zone".
Read more at: Nairobi CBD operation update:200 street beggars netted
Labda walijifunza toka kwa mkulu aliyepita.
 
Rafiki kazi ni kazi, kuna wanao osha maiti na wanao kwamua choo. Utashangaa sana hawa wa Tz wanao omba omba wako na mihela kuliko wewe umekaa hapo kwa kiti chako umeajiriwa na serikali 😀

niwaona hapa mtaani wana mihela kupindukia!!!! wamekuja kenya kuongezea akiba zao. what a wonderful way to live in a foreign land!!! Its no brainer wana akili kukuliko kwa kipimo cha watz!!!

upload_2018-5-17_11-37-22.jpeg
Hadzabe_9997.jpg

vijana kutoka tanzania tayari kuvuka border kuelekea kenya!!
1446294_2.jpg

Kisumo, a father of six and a beggar along Kenyatta Avenue in Nakuru town, lost his lower limbs.

He told journalists that poverty drove him from Tanzania, adding that although he has knowledge in leather work, he has no capital to start a business.
 
uvivu ndio kisa cha mambo haya yote...mtu hataki kufanya kazi anataka tu aombe ombe...ujamaa system at work there
 
Na mademu wengi wa Kibongo Tanzania nao wanaongoza kwa ku omba omba jamani kha!
 
[emoji38][emoji38][emoji38] waacheni watumie fursa TZ ni kazi tu
 
Kuna omba omba mmoja Yupo Nairobi ila amejenga kigamboni na kwao dodoma na amemnunulia dada yake coastal na Noah.
Wakenya jinga kabisa
Ati wajinga nyinyi ni maroho chafu,backstabbing kind of peeps, nikama panya anakuuma then anakupuliza, inhumans albino karibu mmalize wote aiiseee
 
Mibongo ni minjanja sana, kwao chakula kipo kwa wingi lakini wanajaa humu kuchukua pesa ya wakenya. Same case with JPM, he actually can take loans from EuroBond and has a higher credit rating than kenya but he settles for cheap WB loans and Grants!
By the way, Kenyan are 3rd most generous country in the world, Tanzanians Must be Making a fortune here..Shrewdly posing as 'poor' and exploiting stupid kenyans!
Kenyans among top 3 most generous people worldwide - Nairobi News
Come on. You are more intelligent than this!
 
Back
Top Bottom