Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kampuni mbili kutoka Japan, Sony na Honda, wameungana kutengeneza joint venture inayoitwa Sony Honda Mobility kwaajili ya kutengeneza magari ya umeme (EV) yatakayoenda kwa jina la AFEELA.
Chuma ya kwanza imeshatoka, ni sedan, na kusema kweli inavutia. Ukiiona ni kama Lucid Air lakini hapana, hii imetoka JP sio USA.
Hii gari inakuja na electric motors mbili, mbele na nyuma, ambazo kwa pamoja zinatengeneza horsepower 480, na iko powered na battery la 90 kWh.
Sony kuonesha ubabe wake, katuwekea jumla ya camera na sensor 45 ndani na nje kwenye ili gari, kuhakikisha usalama na ulinzi wakati wa kuendesha au tukiwa tumepark.
Kwa mbele kuna mbwembwe ya screen ambayo unaweza kuunganisha na simu yako, uki unlock gari inakukaribisha kwa maneno matamu.
Mlangoni kuna camera ambazo zina sifa ya facial recognition, kwahiyo ukibonyeza open button kwenye cm yako, camera inajua uyu ni owner wa gari na ina unlock na kujifungua mlango automatically.
Tukianza na seat ya dereva, kwanza anakua na screen mbili za pembeni zinazotumika kama side mirrors kwasababu nje hamna vioo kuna camera.
Pia ana steering wheel ambayo ni Yoke style, ana instrumental cluster ambayo pia ni LCD na katikati kuna infotainment screen.
Seat ya nyuma pia ina independent screens.
Kuhusu kucheza PS5, Yes, ni kweli kwa kutumia feature ya PS5 ya “remote play” inayokuruhusu ku-stream game kwa kutumia internet kutoka kwenye PS5 console mfano labd ailo nyumbani. Kwahiyo utakogin kisha utaanza kucheza kwenye gari kwa kutumia pad au steering wheel (kama Tesla).
Hii gari ni Level 3 FSD kwa msaada wa LiDAR camera na sensors ambazo zipo ndani na nje.
Bei haijawa officially, ila rummors zinasema itakua arround $45,000 ambayo ikiwa kweli inamaanisha itakua sawa na Model 3 na chini kidogo Model S.
Hii nitasubiria used.
Chuma ya kwanza imeshatoka, ni sedan, na kusema kweli inavutia. Ukiiona ni kama Lucid Air lakini hapana, hii imetoka JP sio USA.
Hii gari inakuja na electric motors mbili, mbele na nyuma, ambazo kwa pamoja zinatengeneza horsepower 480, na iko powered na battery la 90 kWh.
Sony kuonesha ubabe wake, katuwekea jumla ya camera na sensor 45 ndani na nje kwenye ili gari, kuhakikisha usalama na ulinzi wakati wa kuendesha au tukiwa tumepark.
Kwa mbele kuna mbwembwe ya screen ambayo unaweza kuunganisha na simu yako, uki unlock gari inakukaribisha kwa maneno matamu.
Mlangoni kuna camera ambazo zina sifa ya facial recognition, kwahiyo ukibonyeza open button kwenye cm yako, camera inajua uyu ni owner wa gari na ina unlock na kujifungua mlango automatically.
Tukianza na seat ya dereva, kwanza anakua na screen mbili za pembeni zinazotumika kama side mirrors kwasababu nje hamna vioo kuna camera.
Pia ana steering wheel ambayo ni Yoke style, ana instrumental cluster ambayo pia ni LCD na katikati kuna infotainment screen.
Seat ya nyuma pia ina independent screens.
Kuhusu kucheza PS5, Yes, ni kweli kwa kutumia feature ya PS5 ya “remote play” inayokuruhusu ku-stream game kwa kutumia internet kutoka kwenye PS5 console mfano labd ailo nyumbani. Kwahiyo utakogin kisha utaanza kucheza kwenye gari kwa kutumia pad au steering wheel (kama Tesla).
Hii gari ni Level 3 FSD kwa msaada wa LiDAR camera na sensors ambazo zipo ndani na nje.
Bei haijawa officially, ila rummors zinasema itakua arround $45,000 ambayo ikiwa kweli inamaanisha itakua sawa na Model 3 na chini kidogo Model S.
Hii nitasubiria used.