Soon inakuja whatsapp ya kiswahili

Soon inakuja whatsapp ya kiswahili

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Kampuni ya meta iko mbioni kushusha whatsapp yenye menu za kiswahili ili kueleweka zaidi wa jamii ya watumiaji wa kiswahili.
Kiswahili cha kenya ndicho kitatumika maana kenya ndio inajulikana kwa kiswahili.

Ila mimi sijawahi penda kutumia kiswahili kwenye apps au social media au hata menu za simu.

Yale manenk ya arifa- notification, sasisha - update, rudi mwanzo - home, mpangilio - setting, pakua-download uwa naona yananitia njaa tu.
 
Bongo tumelala sana naamini Kenya wamefanya kitu cha ziada ndo maana tutatumia kiswahili cha kenya
 
Kiswahili cha kenya kipoje ?
Mkuu kuna accent zaidi ya 150 za Kiswahili lakini standard ya Kiswahili ni kiunguja.

Kwenye vitu kama apps, uwa inatumika lugha ambayo ni standard lakini inazingatiwa zaidi matumizi ya maneno ambayo yamezoeleka sana katika jamii, yani kuna muda utaacha neno ambalo ni formal utumie hata neno informal coz ndilo limezoeleka.

Hivyo Kiswahili kitakachotumika ni kile ambacho ni rahisi kueleweka kwa wakenya. Lakini usitegemee kukuta maneno ya Sheng, kitakuwa kiswahili fasaha
 
Kampuni ya meta iko mbioni kushusha whatsapp yenye menu za kiswahili ili kueleweka zaidi wa jamii ya watumiaji wa kiswahili.
Kiswahili cha kenya ndicho kitatumika maana kenya ndio inajulikana kwa kiswahili.

Ila mimi sijawahi penda kutumia kiswahili kwenye apps au social media au hata menu za simu.

Yale manenk ya arifa- notification, sasisha - update, rudi mwanzo - home, mpangilio - setting, pakua-download uwa naona yananitia njaa tu.
Kumbe tutakuwa tunaweka mipangilio Rununu.
 
Hawa wakenya wanatupiga gap kubwa sana kimataifa, hata mambo ambyo si yao, wanatumia machawa wao kuyawakilisha haya mambo kuwa ni yakwao.

Ni vzr ili waTz nao waamke kila siku kenya tu, tuonage aibu basi
 
Duhh..mpya hii..Kiswahili cha kenya...😂😂 ambacho kimetokana na kiswahil cha tanzania...Sasa vyote si ni vyetu tu au mkuu unateseka vp!!...binafsi sioni tatizo
nyie si mko bize kuwakomoa akina Mbowe na utekaji wa ovyo ovyo, endeleeni
 
Kiswahili kipo more complicated sana, kuna maneno ukisoma ni bora utumie English
 
Kampuni ya meta iko mbioni kushusha whatsapp yenye menu za kiswahili ili kueleweka zaidi wa jamii ya watumiaji wa kiswahili.
Kiswahili cha kenya ndicho kitatumika maana kenya ndio inajulikana kwa kiswahili.

Ila mimi sijawahi penda kutumia kiswahili kwenye apps au social media au hata menu za simu.

Yale manenk ya arifa- notification, sasisha - update, rudi mwanzo - home, mpangilio - setting, pakua-download uwa naona yananitia njaa tu.
Sababu wanatafsiri word to word ndio maana badala ya kuweka maneno ambayo ni rahisi kuyaelewa.
 
Kiswahili kipo muda mrefu sana kwenye app ya WhatsApp.. labda ulichelewa kufahamu..
 
Kiko sehem gan nihabarishe mkuu
Screenshot_20220219-191752_WhatsApp.jpg

Settings---- Chats---- App language--- English/Kiswahili .. kama inavyoonekana kwenye picha hapo
 
Back
Top Bottom