Soosooo Catle ...... Unlock Arusha Artist

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Mengi yakuzungumza sina, japo mabalaa yalionekana kupitia mtandao wa twitter kama alivoeleza Nikki Mbishi, tamasha hili lilikuwa la kikanda zaidi na wasanii wengine waliwekwa kama kizugio tu, zaidi lilitawaliwa na wasanii wa Arusha, hii sio nzuri hata kama dili lilisimamiwa na mtu anaetoka Arusha alitakiwa apewe masharti,

Listi iko hivi,
Rosa lee
Motra ze Future
Joh Makini
Frida Amani
Nikki wa Pili
G Nako
Lord Eyes
Chin Bees

walioweka kuzugia,
Country Boy
Mwana FA
AY

Kiukweli listi yenu ilikuwa kiupendeleo,
 
Mengi yakuzungumza sina, japo mabalaa yalionekana kupitia mtandao wa twitter kama alivoeleza Nikki Mbishi, tamasha hili lilikuwa la kikanda zaidi na wasanii wengine waliwekwa kama kizugio tu, zaidi lilitawaliwa na wasanii wa Arusha, hii sio nzuri hata kama dili lilisimamiwa na mtu anaetoka Arusha alitakiwa apewe masharti,

Listi iko hivi,
Rosa lee
Motra ze Future
Joh Makini
Frida Amani
Nikki wa Pili
G Nako
Lord Eyes
Chin Bees

walioweka kuzugia,
Country Boy
Mwana FA
AY

Kiukweli listi yenu ilikuwa kiupendeleo,
 
HAHA YAANI HAMJAONA KUWA WOTE NI WASANII NA WOTE WANAFANYA SANAA YA MZIKI AMBAPO PIA WANATOA BURUDANI SAWA NA WENGINE, ILA WEWE NA NIKKI MBISHI AKILI ZENU ZIKAANZA NA KUTOFAUTISHA UBAGUZI WA KIKANDA NA BLAH BLAH NYINGINE. AISEE KWELI TANZANIA NA BAADHI YA BINADAMU ULIMWENGUNI WANA TABU SANA NA VITU VISIVYO NA MSINGI KIJAMII. NAONA MKITOKA KWENYE UKANDA MTAFIKA KWENYE MAKABILA KABISA NA BAADA YA HAPO NI FAMILIA MOJA MOJA KUWA YUPI WA USHUANI NA YUPI KAPUKU. POLENI SANA & IT'S SO SAD.

NB: BY THE WAY MWANA FA PIA NI WA KANDA YA KASKAZINI PIA, SO UNAWEZA FIX TENA LIST YAKO HAPO.
 
Nitajie wasanii wa hip hop wanao fanya vizur tuone kama siyo wa kutoka Arusha,,Kumbuka hili tamasha lilikuwa la hip hop so hawawez kumchukua mbishi ambaye hana hit hata moja ya kuzugia.
 
Mchomvu ni wa arachuga lzma awabebe AR

Ova
 
Nitajie wasanii wa hip hop wanao fanya vizur tuone kama siyo wa kutoka Arusha,,Kumbuka hili tamasha lilikuwa la hip hop so hawawez kumchukua mbishi ambaye hana hit hata moja ya kuzugia.
Nkki mbishi, one, songa, Nash Mc
Stereo nk Hawa wanafanya ngoma hip hop kuliko Hawa wapaka poda joh makini.....

Ova
 

usikurupuke siku ingine na uandishi wako, nimesema Arusha, wapi umeona neno Kaskazini..?
 
Nishawambia sa hv wasanii wa Arusha wako na Clouds, wengine wanafight alone au wajibanze kwenye wasafi festival
 
Kazi ipo
 
Hivi kuna hiphop bongo bila Fid q ,young killer , nikki mbishi ,wakazi ,one incredible..

Hao weusi wanaimba mchiriku tu...
Hamna Fareed,Moko wa Miujiza,Songa...HAYO NI MASHUDU TU,Hamna Hip hop hapo!!
 
Watu Wa arusha wana ukabila sana, Niki Mbishi akiongea anaonekana mkorofi. Sasa motra the future ana wimbo gani Wa ku pull crowd? Au uyo frida amani ata hakuna anachoweza kuimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…