Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Aisee!! Wewe kiboko! Kwahiyo hauoni kabisa namna Majaliwa alivyoimba vimistari vichache? Angalia vizuri katika sekunde ya 15-17, utaona Majaliwa akiimba!
Msimsingizie mzee wa watu...

Angekuwa ni mkereketwa wa Lowasa asingeishia hapo tu. Abgeliendeleza kama akina Sophia...

Halafu akina Sophia siamini kuwa wamechukuliwa hatua hizo kwasababu walipiga makofi...hapana
 



Nimeiona kwny JF twitter:

=========
UPDATES:

Waliofukuzwa Uanachama wa CCM kuanzia leo:
1. Sophia Simba
2. Ramadhan Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga

Waliovuliwa gamba toka ugambani ni kama ifuatavyo:

Wafahamu kwa sura wale waliovuliwa gamba na CCM mwaka March 11 , 2017

01.Bi. Jesca Msambatavangu wa Iringa...huyu alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa ambaye alijipambanua kwa kumuunga mkono Loawasa wakati wa kampeni za Urais mwaka 2017. Picha zake hizi hapa chini.
CC : MWAKALEBELA FREDRICK maana atakuwa ana hema sasa mpinzani wake kapigwa panga.




02. Bi.sophia simba .....naye kavuliwa gamba. huyu alikuwa ni mwenyeki wa kina mama wote wa ugambani CWT. Naye kanyolewa leo tarehe 11 March 2017 huko makao makuu ya nchi.






madabida ramadhani - huyua alikuwa mwenyeikiti wa CCM mkoa wa DSM , alikumbwa na kashfa ya kutengeneza ARV feki na kuzisambaza kwa watumiaji Tanzania, jamani watanzani TWAFWAAAAA......






mwenyekit wa CCM mkoa wa mara .



anayesalimiana na makamu wa Rais ni mwenyeki wa ccm mara
 
Wote waliofukunzwa ni walee wapingaji!hawaruhusiwi!chama hakiitaji mtu mwenye mawazo mbadala.over
 
Bashite Kuteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati kuu ya ccm .....take my note....hio kamati kuu itakuwa ya huko huko nyumbani...na angalieni udini kujitokeza kwa mara ya kwanza ndani ya ccm....tutupie macho...lakini ndio chama kina kufa hichoooo.
any way ni hasa umuhimu wa kupunguza idadi ya kamati kuu ? lengo kumpa mwenyekiti njia ya control ya maamuzi...chama kuwa mfano wa vyama vya kikomonisti cha korea ya Kim...
ccm itakosa maamuzi ya wengi na maamuzi yatakua ya watu wachache .... yaani hata vyama vichanga vya upinzani vina utaratibu mzuri zaid wa kuchagua viongozi...
 
Sasa hawa walioonywa na wakati nao wako kwenye kundi la usaliti inakuwaje?
 
Mpaka sasa sijaelewa maana ya demokrasia na uhuru wa kuamua na kuchagua,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…