PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
huo ni uswahili tu!Nina kavideo nilikofanya zooming ya Premier akiimba. Kwa mimi niliyesoma "profiling na intelligence analysia,crystal clearly he was singing willingly from the bottom of his "undevided" heart.
Nimeiona kwny JF twitter:
=========
UPDATES:
Waliofukuzwa Uanachama wa CCM kuanzia leo:
1. Sophia Simba
2. Ramadhan Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga
Ila maisha ya aendelee sio mganga njaaSiku zake zinahesabika
Kwahiyo umekubali aliimba? Kuimba siyo ndiyo ukereketwa wenyewe, ama?Msimsingizie mzee wa watu...
Angekuwa ni mkereketwa wa Lowasa asingeishia hapo tu. Abgeliendeleza kama akina Sophia...
Halafu akina Sophia siamini kuwa wamechukuliwa hatua hizo kwasababu walipiga makofi...hapana
Tunaomba majina yao hao wenyeviti wa iringa, mara na shy twn, wengine hatuwafahamu
Nimeiona kwny JF twitter:
=========
UPDATES:
Waliofukuzwa Uanachama wa CCM kuanzia leo:
1. Sophia Simba
2. Ramadhan Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga
Hii kauli ni tata,unamaanisha nini mkuu ngushi?wewe ni mnafiki sana madabida ametembea sana na makonda mbona hukumtahadharisha makonda aache hiyo tabia
huyu kuna habari humu jf amewasili dodoma jana na charter plane na makasha ya minoti kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu. inaelekea el na team yake bado wanaamini ccm ni kampuni yao.Bado Bashe