Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Karibu chadema mama huko siko make mnambiwa mtoke hamtaki sasa umeona yalio kukuta kweli ccm mbele kwa mbele
 
Hapo CCM mtukufu mwenyekiti akisema niongezeeni muda wa kuwa mgombea wenu, wote mnasadiki na kuitikia ndiyo mtukufu.
Mlipobadilishiwa katiba ya chadema na kumpa uenyekiti endelevu Mbowe kwenu ilikuwa raha na kawaida na hamkuhoji, iweje unakuja na day dreams!! Eti akisema aongezewe! Wakwenu aliyekwishajiongezea haumsemi! Ndio maana mnaitwa nyumbu!
 

Constructive criticism
 
Mkuu issue ya Katiba mpya si issue ya Chama ....Chadema hawawezi kushinikiza na kushinda issue ya Katiba mpya bila kupata support kutoka CCM..... Ajenda ya katiba mpya ilibebwa na akina Warioba (wana CCM) na pia ilipingwa na watu ambao ndio wengine waliokuja kukimbilia Chadema na kupewa fursa ya kugombea Urais ....hivyo kwa Chadema ya sasa hiyo si ajenda tena (kama ilivyo ufisadi) ....Chadema inaishi kwa matukio na kwasasa haieleweki inasimamia nini (labda Bashite saga) ....na huwezi kusikia nyie manguli wa kuikosoa CCM mkitoa ushauri wa kisera huko Chadema hata wafanye makosa gani ....au chadema hawakosei? Au Chadema si muhimu kwavile hawana dola? ....
 
Jmn chadema inawapa homa sana ee manake ukichukua kikamanda kimoja tuu cha chuo kikuu inabidi uandaee wenyeviti hamsini hv wa wilaya kupingana nae kihojaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]
Mwambie Mbowe kuwa wazazi wa Ben Saanane wanamtaka mtoto wao.Asijifanye kupotezea.
 
Wamesahau ya NEC ya enzi ya Nyerere akamtoa juu kwa juu rais wa Zanzibar na kumweka mwingine, na ndiyo NEC hiyo inarudi! Chama shupavu kweli kweli! Hapa kazi tu!
 
Hilo azimio la kubadilisha katiba kumsimika mwenyekiti apite bila kupingwa mmeshalipitisha?
 
Hii sio democrasia, mbona republican karibu wote walimpinga Trump na hakuna hata mmoja aliyefukuzwa chama. Inaa maana wote walitakiwa kumuunga mkono mgombea hata kama walikua hawampendi?
Rejea tafisiri sahihi ya neno Demokrasia kama ilivyofafanuliwa na Nguruvi3, hiyo ni makubaliano ya namna ya kuendesha mambo baina ya kundi la watu, jamii ama nchi. CCM amekubaliana kujiendesha namna hiyo...kwamba hakuna " kukata rufaa kwa waliofukuzwa"
 
Michagga mijizi utaijua tu
 
bila itikadi ni kuchota maji kwa kutumia kikapu cha kindu. Chama cha siasa msingi wake ni itikadi. Vyama vya kitanzania ukianza na CCM vina itikadi au ni uchumia tumbo ?
Mkuu uko sahihi. Jana Humphrey Polepole alijiikanyaga sana alipoulizwa sababu ya mabadiliko hayo ndani ya CCM. Ukweli ni kuwa hapo hakuna mabadiliko ya ukweli kutokana na kwamba mabadiliko ndani ya Chama lazima yawe ya kiitikadi zaidi ili kukiwezesha chama kutekeleza majukumu yake na kukabili changamoto zinazojitokeza katika kuleta maendeleo ya nchi. Lakini hapa mimi silioni hilo. Na kwa kweli kuna mambo ya kuleta wasiwasi. Kwanza kukosa uvumilivu wa kusikiliza mawazo mbadala. Chama lazima kiruhusu mambo hayo hasa kwa ngazi ya Wenyeviti na Makatibu. Nyerere alifanya hivyo na Chama kiliimarika sana. Hii ya concentration of power at the top bila grassroots representaion itaua Chama. Pili CCM wadefine ideology yao ni nini na wanataka kufanya nini. Ningetegemea katika kikao hiki at least wangetoa angalau mwelekeo wa kiuchumi w nchi. Tatu katika kutathmini Uchaguzi uliopita CCM ingeachana kabisa na witchhunting kama ilivyofanya. Uongozi umekuwa na hasira sana kuhusu hao "wasaliti" kiasi cha kwamba tathmini halisi ambayo ilitakiwa kufanywa haitafanyika. CCM wangejiuliza kwa nini wameshindwa katika miji yote mikubwa Tanzania Bara na Visiwani? Dar, Arusha,Mwanza(ilirudi dakika za majeruhi), Mbeya, Iringa, Tanga na Mtwara kote huku Chama kiko hoi. Kujikita kuwafukuza akina Sophia Simba watu ambao wamekitumikia chama maisha yao yote naona siyo busara. Niwatakie kila la kheri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…