Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Kesi ya Sophia Simba sawa na ya Zito Kabwe wote wametimuliwa kwenye vyama vyao hawajajiuzulu kama Lipumba.
Kesi ya Lipumba inakuwa sawa na Lowassa akitaka rudi CCM wamkatae labda!..
Msajili anaingiaje hapa kwani Zito Msajili alimsaidiaje alipotimuliwa?..Tupunguze mihemko!..
 
sasa hivi CHADEMA wanasimamia ajenda gani? kesho utasikia watatoa matamko kuhusu maamuzi ya kikao cha CCM....kiufupi CHADEMA wanacheza ngoma ya CCM
chochote kiovu kinachofanywa na chama tawala ni agenda ya Mpinzani hii sio kwa Tanzania pekee bali duniani kote
 
Ikiwa chama kimeamua kukufukuza na unataka kuendelea kuwa ndani ya chama huku ukishikilia nafasi yako\zako, mfate msajiri wa vyama ili akurudishe kwenye chama na undelee kushika nafasi zako kama alivofanya kwa Lipumba.

Sofia Simba usipaniki, fata huo utaratibu, ni rahisi sana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
K
Ikiwa chama kimeamua kukufukuza na unataka kuendelea kuwa ndani ya chama huku ukishikilia nafasi yako\zako, mfate msajiri wa vyama ili akurudishe kwenye chama na undelee kushika nafasi zako kama alivofanya kwa Lipumba.

Sofia Simba usipaniki, fata huo utaratibu, ni rahisi sana.
Kweli wewe nyumbu,uenyekiti wa UWT na msajiri wa vyama wapi na wapi?
 
Bruv mi nimeshaanza kuona na rangi ambazo hazionekani na binadamu wa kawaida..

But for god's sake jamaa kwenye maendeleo na kusimamia rasilimali za taifa nampa A+ ila kwenye democracy na ujuaji mwingi nampa BIG ZERO.. He can't be Economist, Lawyer, Accountant, Pay Master General, IGP at the same time. Apokee ushauri kidogo anaopewa. Ni kweli tunajua ana nia nzuri lakini huku mtaani aisee twafaaaaa...

Hahahahaha, Bruv yani akijifunza hata kusikiliza kidogo tu basi atafika mbali sana.
Lakini akiendelea kukaza huu nafwazaaaa kwa njaa kaliii.
 
hata kama hao wajumbe ni wasaliti waachwe tu eti wasipunguze kura? wacha waondoke watakuja wengine wazalendo
wewe nawe mzigo!
unajua Sophia alipomuimbia Lowasa ilikuwa kabla EL hajahama CCM?
Unajua kuwa mwenyekiti wa wakati huo alitaka kuwaburuza wajumbe na kumuweka mgombea wake bila ya kujali utashi wa wanachama wote? je ni dhambi kumpinga mwenyekiti pale unapohisi amekosea?

Hebu wewe tufafanulie unachokiita usaliti toka kwa SOPHIA SIMBA ni kipi?
 
Kule mwanza viongozi wa chadema wamefukuzwa na wamejiunga ccm ....so hakuna hatia na hao wa Leo kuhamia chadema , hayo ndo maisha ya Siasa.
 
Kesi ya Sophia Simba sawa na ya Zito Kabwe wote wametimuliwa kwenye vyama vyao hawajajiuzulu kama Lipumba.
Kesi ya Lipumba inakuwa sawa na Lowassa akitaka rudi CCM wamkatae labda!..
Msajili anaingiaje hapa kwani Zito Msajili alimsaidiaje alipotimuliwa?..Tupunguze mihemko!..
Mkuu kwa akili ya kawaida mtu aliyejiuzulu mwenyewe kwa matakwa yake na ambaye amefukuzwa ni nani mwenye haki angalau kidogo
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
kama wewe "huna" chama mbona povu linakutoka hivyo? kwani hao wanachama waliofukuzwa ni wa CHADEMA? unaacha kujadili hoja iliyopo mezani unabwabwaja tu kama teja aliyeshiba unga au umbwa jike mwenye nye.ge? acha hizo ndugu yangu.
 
Dikteta uchwara katika ubora wake hataki kupingwa! Lakini wakati huo huo bado kawakumbatia wahuni, majangili, wezi, wapokea na watoa rushwa, wafitini na mafisadi ndani ya chama. Kama ilivyomshinda nchi chama pia kimemshinda kukiendesha huyu mkurupukaji.
Kwani mmeanza kupokea wasaliti?
 
Back
Top Bottom