Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mnafiki sana madabida ametembea sana na makonda mbona hukumtahadharisha makonda aache hiyo tabiaSasa si angehamia tu CHADEMA kuungana na mumewe! Alikuwq anasubiri nini
Aisee!! Wewe kiboko! Kwahiyo hauoni kabisa namna Majaliwa alivyoimba vimistari vichache? Angalia vizuri katika sekunde ya 15-17, utaona Majaliwa akiimba!Hio video unamuona Mh. Majaliwavakiimba au amesimama kama ada iwapo Mwenyekiti anakuwa anaingia ukumbini??? ....
Zitto alibaki?Tatizo lenu CCM ni pale mnapowachukia wanachama wenu wanaosema ukweli, mnataka chama kiwe cha wanafiki watupu!! Bashe hana unafiki
Huyo Bashe naona mnamvutia muda tu kama mlivyofanya kwa Kina Sophia na Madabida.Bado Bashe
Na akina sofia walikuwa wanashirikiana na cdm kuihujum ccm kupitia LE.Kosa la zito siyo kupishana mawazo.zitto alikuwa anashirikiana na maccm kuihujumu chadema.
Kamanda Sophia SimbaSophia Simba alishasoma upepo na kuamua kutogombea UWT.Kachelewa maana alitakiwa ahame chama mapema ila kwa sasa hakuna chama makini kitakachompokea.
Hawa ni kuwakata ni sawa na kujilipua mchana kweupeBado Nape , Mwigulu na January .
Maamuzi ya mtu mmoja tu !
The problem of testing manya men.......Wamechukia walivyoambiwa "Humu ndani Mwanaume Lowassa tu," hahaha
Kama namuona jessica na anavyoutamani ubunge sijui ataenda chademaWamemkumbuka pia [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kama kuna kitu kinanipa headache duniani, ni kujua Lizaboni ni nani! walikuwa wanasema ni bashite, but seems this is not true!Bado unamfuatilia Lizaboni Mkuu!!?
Sophia Simba alishasoma upepo na kuamua kutogombea UWT.Kachelewa maana alitakiwa ahame chama mapema ila kwa sasa hakuna chama makini kitakachompokea.