Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Mabadiliko ya ccm yanakuumiza?Kiongozi wa uasi, aliyezungumza usiku ule (Emmanuel Nchimbi) kapewa onyo akiwa tayari Balozi, tena balozi ambae aliteuliwa baadae huku wenzake wa awali wakishinda pale foreign kwenye mabenchi wakisoma magazeti kusubiri vituo; Wafuasi wa nchimbi wanasamehewa/wanafukuzwa uanachama, tena baada ya mmoja wao (Sofia Simba) kuweka wazi kabisa kwamba yeye na siasa za CCM sasa imetosha.
Ama kweli CCM vituko kuisha mwiko.