Pre GE2025 Sophia Simba: Wanawake waliokaa muda mrefu kwenye Viti Maalum waachie nafasi kwa vijana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tume huru ifute viti maalum na badala yake viwepo vya makundi maalum tu kv walemavu, wavuvi , wastaafu, wachimbaji, wafugaji nk. Lakini posho na mishahara ya wanasiasa ipunguze pia !
 
Salma kikwete ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi hapa amezungumzia viti maalum!
2020 hakukuwa na uchaguzi, ulikuwa ni uchaguzi wa kutimiza matakwa ya dhalimu Magufuli.
 
Mhe. Lissu ana jicho la Ndege Tai

Aliliona hili kitambo kabisa, kumbe hadi CCM walihitaji mtu wa kulisemea 🤗
 
Niwakati familia zawatu waliokuwa viongozi wakaepembeni wanaposhika madaraka hawana uwezo wakutatua machangamoto zaidi yakupata mali nakuwaza madaraka zaidi
Familia za viongozi wa zamani ni wabinafsi sana qumamae zao. I hate those guys a lot. Kujilimbikizia mali tu na kupeana wao kwa wao ndio vitu wanajua.
 
Hivi mke wa spika wa zamani standard &speed bado yuko bungeni?
 
Kachaguliwa na wananchi kutoka jimboni na wala siyo Mbunge wa Viti maalumu. Kwa hiyo ukitaka ubunge nenda kagombee
Kama wananchi ndiyo mnachagua wabunge aina ya huyo mama, basi nyinyi ni zaidi ya vilaza. Inakuwaje mtu hata kujenga tu hoja hajui, halafu mnamchagua kuwa mwakilishi wenu!!
 
Itoke vishangazi vidogo tuingie na sisi 😹😹
 
Leo kaongea point sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…