Sophia Simba zao la mafisadi?

Sophia Simba zao la mafisadi?

alitetewa hapa na Mzee Mwanakijiji kwa sauti nzito...watu walipohoji kuhusu statement zake alipopata U-wenyekiti wa bosheni, sasa mnaona? she has shown her true colors..khalaghabaho....!


Msubiri Mkjj atakupa jibu la rangi hizo
 
ubunge wa kupewa bure....uwaziri bure....unategemea nini? hana uchungu wowote
 
Nataka kauli ya Sophia simba baada ya Rostam kutaja mafisadi Nyangumi??? La sivyo naandamana...
 
Next year ni uchaguzi mkuu. Mmoja wa hawa waheshimiwa anautaka ubunge wa jimbo la Ilala. Mwenye jimbo kwa sasa ni very strong. Ili kumtoa unahitaji fedha ya kuwaweka sawa wapiga kura za maoni wa Ilala. Ukimtetea Subhash, Rostam, Manji, Jeetu na kadahlika halafu ukaenda kuwaomba fedha za kampeni bila ya shaka watakupatia tu. Haingii akilini kwa nini wao wenyewe wasiende hadharani kulalamika lakini badala yake waheshimiwa wanatumia nafasi zao kuwatetea kama vile ndiyo msimamo wa JK. Hivi nyie hamuoni hilo?
 
Sophia atamtuma Othman kumfuatilia Mengi, na kaushahidi ka mikopo ili wammalize mzee mzima.
Nakumbuka L. Masha alijaribu kuitumia TRA kummaliza ikashindikana, sasa ni vipi Mengi alikwepa kodi wakati serikali ya JK imekuwa ikimwinda imfilisi?? Kama kweli anakwepa kodi si ilikuwa free ride kwa Masha kummaliza wala asingihitaji kikao cha siri angetumia tu polisi na baadhi ya usalama mamluki ???
 
Huyu mama tangu agombee kile kiti cha wanawake, ndipo alipopoteza sifa ya kuwa waziri wa utawala bora,

Huwezi kuwa waziri wa utawala bora at the same time ni mshabiki wa chama... heri kuwa mwananchama tu lakini mshabiki na kiongozi wa chama... I do not agree.
 
Huyu mama tangu agombee kile kiti cha wanawake, ndipo alipopoteza sifa ya kuwa waziri wa utawala bora,

Huwezi kuwa waziri wa utawala bora at the same time ni mshabiki wa chama... heri kuwa mwananchama tu lakini mshabiki na kiongozi wa chama... I do not agree.
Kasheshe, hii inanikumbusha ya yule aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM hapohapo ni waziri wa habari na Utangazaji. Kazi kwelikweli!
 
ubunge wa kupewa ....uwaziri wa bure!!!what do u expect?
 
Hawezi kumkemea RA kwa sababu ni naniii.... wake.

kwi kwi kwi kwi
 
Huyo mwanamke Sophia Simba ni mshenzi na ajui anafanya nini huko Bungeni na anawahakika hata kwa Waziri?? Au ni chakula cha wazee au wahindi ?? Atuambie. Kwanza anasura mbovu kama nyani sijui anajionaje ? Lazima hata elimu yake ikaguliwe. Ni mjinga sana Sophia Simba.
 
Sasa tunaendelea kuwachagua sisiem kwa kura nyingi au wanaiba kura?

Kwa sababu yaliyotokea yanatosha kabisa kuiadhibu ccm. Maana siku hizi hata vijijini kuna umeme na TV.

Ila nina shaka kura zinaibwa au mawakala wa kuhesabu kura wanahongwa hela kubwa mno mbwa haruki.
 
Huyo mwanamke Sophia Simba ni mshenzi na ajui anafanya nini huko Bungeni na anawahakika hata kwa Waziri?? Au ni chakula cha wazee au wahindi ?? Atuambie. Kwanza anasura mbovu kama nyani sijui anajionaje ? Lazima hata elimu yake ikaguliwe. Ni mjinga sana Sophia Simba.
Lugha za matusi ni za mtaaani great thinker hawezi kuongea ligha hii.
 
Lugha za matusi ni za mtaaani great thinker hawezi kuongea ligha hii.

Mkumbushe kajisahau huyo hajui kuwa hapa Hoja kwa Hoja wala hakuna matusi. Great Thinker inabidi ionyeshwe kwenye maandishi yetu ya kuwa na busara hata kama humpendi mtu mpe haki yake ya kuwa mtu
 
Back
Top Bottom