alitetewa hapa na Mzee Mwanakijiji kwa sauti nzito...watu walipohoji kuhusu statement zake alipopata U-wenyekiti wa bosheni, sasa mnaona? she has shown her true colors..khalaghabaho....!
Kasheshe, hii inanikumbusha ya yule aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM hapohapo ni waziri wa habari na Utangazaji. Kazi kwelikweli!Huyu mama tangu agombee kile kiti cha wanawake, ndipo alipopoteza sifa ya kuwa waziri wa utawala bora,
Huwezi kuwa waziri wa utawala bora at the same time ni mshabiki wa chama... heri kuwa mwananchama tu lakini mshabiki na kiongozi wa chama... I do not agree.
Lugha za matusi ni za mtaaani great thinker hawezi kuongea ligha hii.Huyo mwanamke Sophia Simba ni mshenzi na ajui anafanya nini huko Bungeni na anawahakika hata kwa Waziri?? Au ni chakula cha wazee au wahindi ?? Atuambie. Kwanza anasura mbovu kama nyani sijui anajionaje ? Lazima hata elimu yake ikaguliwe. Ni mjinga sana Sophia Simba.
Lugha za matusi ni za mtaaani great thinker hawezi kuongea ligha hii.