the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
- Thread starter
-
- #21
ni lugha tu imeniteleza ila following the increased numba ya WANAVYUO (university) nimegundua ukimchukua binti mwaka wa pili ukakaa naye baada ya miaka miwili tu anaenda kwao na mimi naingiza kigori kingine cha chuo.Kwa mtindo huo naamini hutaishi muda mrefu haaa unafananisha watu na bidhaaa???
twende zetu my dear.....!!!:A S 13::decision::hand::hand:
Kwani umelazimishwa kufanya nini???
Nenda tu kasombe magonjwa huko....usisahau kuweka akiba ya mazishi tu!!!
Mbona sikuoni kule bana
Kila raina ana haki ya kuishi anavyotaka ili mradi asivunje sheria. Sasa niambieni nimevunja sheria ipi ya Muungano au ya manispaa?:A S 13: sawa Mkerewe....wewe wajua zaidi....furahia maisha yako!!!:hand:
nendeni ila ukweli kawaida hujitenga na uongo, nendeni mkabembelezwe na hao wasiojua walipo totos wa kuwapata kirahisi.twende zetu my dear.....!!!:A S 13::decision::hand::hand:
dena na mrs obama mjue kwamba sio nawachukia wanawake NO! ila nawapenda nawatamani sana ndio maana nataka niwe nao more and more.Mbona sikuoni kule bana
nendeni ila ukweli kawaida hujitenga na uongo, nendeni mkabembelezwe na hao wasiojua walipo totos wa kuwapata kirahisi.
Hivi ulishawai tembelea pale mabibo au SUA uone namna tunavyorudisha wapenzi wetu asubuhi jtatu?kwanza sitaki mtu wa kunigandaganda nataka just sparks
wapi dear??
labda hujanielewa, simaanishi kuwa mimi ni gongagonga. Nakuwa na mtu sio zaidi ya miaka miwili hasa vimchumba vya Vyuo. Najihami sana kwani najipenda kuliko so nakichukua nakipima ngoma kikiwa mwaka wa pili najua kabisa kikimaliza chuo kitaondoka hapa mjini hapo nakifuta kabisa kwenye kumbukumbu zangu.Kwani umelazimishwa kufanya nini???
Nenda tu kasombe magonjwa huko....usisahau kuweka akiba ya mazishi tu!!!
mungu mkubwa nadhani mumeona wenyewe kengine kanavyotafuta mume kiujanja kakisingizia mwenzake.Wanawake mpo wengi kama pikipiki za kichina na mnasababisha ajali kwa wazembe kama ilivyopikipiki ya kichina,mnaweza hata mkaua kwa kupendwa kama pikipiki ya mchina inavyomuua mpandajiKule kuna mtu anamsingizia rafiki yake anatafuta mume kumbe ni yeye kajichanganya kuandika
nafikiri ni wale kambale ila vijana wa leo hawali kambale wanakula mapanki ndio maana wengine wanajiua kisa mwanamkeDena amsi,michelle,maria roza&lizzy mmemshambulia mkerewe unajua wakerewe ndo zao hz cjui wale kambale ndo huwafanya hvyo?
Hujapenda wewe utalia sana
wewe Mrs Obama sikia mimi siwezi fanywa mjinga na mwanamke hata siku mmoja.Bidhaa zipo kibao sokoni ya nini nsubirie iliyopo kiwandani?
labda hujanielewa, simaanishi kuwa mimi ni gongagonga. Nakuwa na mtu sio zaidi ya miaka miwili hasa vimchumba vya Vyuo. Najihami sana kwani najipenda kuliko so nakichukua nakipima ngoma kikiwa mwaka wa pili najua kabisa kikimaliza chuo kitaondoka hapa mjini hapo nakifuta kabisa kwenye kumbukumbu zangu.
Siwezi hangaika na wasichana wa mitaani kwani wanawaza mno future kila siku anauliza lini utatangaza ndoa.
kwa miaka ya sasa sioni kama kuna haja ya kumbembeleza mwanamke kwa ajili ya mapenzi ili ama awe mkeo/mchuma au gf
kuna wanawake wengiii mno and fresh love is always tamu sana.mwanamke ukimsihi mara mbili achana nae zuga siku mbili atarudisha mwenyewe mawasiliano.
Usimpige mwanamke dawa yake akijifanya anajua wewe poa alafu mwache aende hukoooo atakako.
Ni aibu kwa leo ukute mwanaume analia kisa mwanamkee kamzingua.