FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Leo nashuka hapa kumumpa Wosia
Kiungo wa Azam Sospeter Bajana kipaji kikubwa anacho japo kulikuwa na walakini kwenye jina lake
Mimi ni shabiki wa Azam fc kipindi unatumia jina la Brayson Raphael mbona hukuwa kiburi?
Au kitambaa cha unahodha ulichokivaa nusu msimu uliopita kipindi Agrey na sure boy wamefungiwa kimekupa kiburi?
Mimi Kama shabiki yako number moja juzi nmeumizwa sana na iko kitendo cha kutolewa na kurusha mikono juu mbele ya Agrey moris na Kali ongara au kisa ulicheza nao ni wachezaji wako ndiyo maana unawachukulia poa?
YOU NEED TO CHANGE MASTER
Kiungo wa Azam Sospeter Bajana kipaji kikubwa anacho japo kulikuwa na walakini kwenye jina lake
Mimi ni shabiki wa Azam fc kipindi unatumia jina la Brayson Raphael mbona hukuwa kiburi?
Au kitambaa cha unahodha ulichokivaa nusu msimu uliopita kipindi Agrey na sure boy wamefungiwa kimekupa kiburi?
Mimi Kama shabiki yako number moja juzi nmeumizwa sana na iko kitendo cha kutolewa na kurusha mikono juu mbele ya Agrey moris na Kali ongara au kisa ulicheza nao ni wachezaji wako ndiyo maana unawachukulia poa?
YOU NEED TO CHANGE MASTER