Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Mtangazaji wa kipindi cha shilawadu kinachorushwa na clouds tv Soudy brown ameonekana kutafuta bifu na WCB hasahasa diamond platnumz.... maana kila ambacho wanakifanya lazima akikosoe kwa mafumbo sana lakin yanayoonekana
Cha ajabu ni kwamba WCB ni kama wamegoma kutoa kiki, maana hakuna siku walowahi kumjibu.....
#soudyanapatatabusana... 😂😂😂😂
1. Siku ya show ya wasafi festival mwanza mvua ilinyesha... km ilivyolipotiwa na dizzimonline👇👇
Alichopost soudy kama diss kwa wasafi....👇👇👇
2. Hii ni show ya mwanza ambayo ilikuwa sold out... maana tiketi zote ziliisha kwa mujibu wa wasafi
Na hili ndo jibu la soudy....
Na akaongeza pia hii.....👇👇👇
3. Dongo jingine linaloonekana kuwaendea Wasafi ni hili hapa 👇👇👇
4. Bila kusahau hili la ndege lililotokea juzi... kijana ameonekana kuwachokonoa sana hawa jamaa
Lakini cha kushangaza wasafi wapo kimya tu.... inamaanisha wamemkaushia jamaa yetu. Kumbukumbu zinaonesha kipindi cha shilawadu kilikuwaga na nguvu sana kipindi kile Mond hawajakorofishana na clouds.... sahv imebaki historia hamna cha kushtua saana km kipindi kile cha hereni 😂😂😂
Kwahiyo jamaa anatapatapa sana sahiv sababu kishakosa mvuto....
Anyway mond kapata shabiki wake mkubwa sana ambaye kila siku haipiti bila kujua kafanya nini ili apate cha kuandika
Na ikumbukwe wakati akihojiwa na lil ommy pale Times fm, mond ashawahi sema ye ni "maji" usipoyanywa lazima uogee...
Japo mbunge mkubwa fella kaonesha kukerwa na soudy lakin hakuna mashambulizi ya kutosha km yale yaliyoibuka kati ya fiesta na festival tar. 24/11.
NAWASILISHA
Cha ajabu ni kwamba WCB ni kama wamegoma kutoa kiki, maana hakuna siku walowahi kumjibu.....
#soudyanapatatabusana... 😂😂😂😂
1. Siku ya show ya wasafi festival mwanza mvua ilinyesha... km ilivyolipotiwa na dizzimonline👇👇
Alichopost soudy kama diss kwa wasafi....👇👇👇
2. Hii ni show ya mwanza ambayo ilikuwa sold out... maana tiketi zote ziliisha kwa mujibu wa wasafi
Na hili ndo jibu la soudy....
Na akaongeza pia hii.....👇👇👇
3. Dongo jingine linaloonekana kuwaendea Wasafi ni hili hapa 👇👇👇
4. Bila kusahau hili la ndege lililotokea juzi... kijana ameonekana kuwachokonoa sana hawa jamaa
Lakini cha kushangaza wasafi wapo kimya tu.... inamaanisha wamemkaushia jamaa yetu. Kumbukumbu zinaonesha kipindi cha shilawadu kilikuwaga na nguvu sana kipindi kile Mond hawajakorofishana na clouds.... sahv imebaki historia hamna cha kushtua saana km kipindi kile cha hereni 😂😂😂
Kwahiyo jamaa anatapatapa sana sahiv sababu kishakosa mvuto....
Anyway mond kapata shabiki wake mkubwa sana ambaye kila siku haipiti bila kujua kafanya nini ili apate cha kuandika
Na ikumbukwe wakati akihojiwa na lil ommy pale Times fm, mond ashawahi sema ye ni "maji" usipoyanywa lazima uogee...
Japo mbunge mkubwa fella kaonesha kukerwa na soudy lakin hakuna mashambulizi ya kutosha km yale yaliyoibuka kati ya fiesta na festival tar. 24/11.
NAWASILISHA