BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Unawaulizia wanaume wenzio wanaishi vipiii ili iweje
Ahahhaa inawezekana unakaa kabisa kuhusu kuulizia habari za wanaume wenzioLabda anataka ' Kutambaliziwa ' nao mashine.
haipiti siku bila kuzungumzia mashine za wqnaume itakuwa mboga tu weweLabda anataka ' Kutambaliziwa ' nao mashine.
Kwisa tunakaa nae huku ushuan soudy anakaa nae ushuan hko mjini na kwisa ni mzee wa kijamaika sana. Note:waache watafute ugal kwa jins walivochagua usitake kujua wanakaa wapiSalute,
Binafsi sipendezwi sana na umbeya ambao huwa wanafanya Soudy na Kwisa lakini kwa bahati mbaya wifi yenu anakipenda sana hivyo kuna wakati najikuta naangalia kilazima.
Nimekuwa na hamu sana ya kufahamu hawa vijana wakiwa mtaani ni vijana wa aina gani? wanaishi wapi? wakiwa mtaani wanashinda na watu wa aina gani? ni walevi? wavutaji? wamejenga? wana magari?
Kifupi ni kwamba wanaishi ishi vipi wakiwa huko mtaani?
HahahahahaWifi yetu?[emoji35]