pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Unataka kuwateka shindwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka ukawatyu tyutyuu, maana umeshaonesha chuki kwao.Salute,
Binafsi sipendezwi sana na umbeya ambao huwa wanafanya Soudy na Kwisa lakini kwa bahati mbaya wifi yenu anakipenda sana hivyo kuna wakati najikuta naangalia kilazima.
Nimekuwa na hamu sana ya kufahamu hawa vijana wakiwa mtaani ni vijana wa aina gani? wanaishi wapi? wakiwa mtaani wanashinda na watu wa aina gani? ni walevi? wavutaji? wamejenga? wana magari?
Kifupi ni kwamba wanaishi ishi vipi wakiwa huko mtaani?
ngoja mange kimambi ataleta mambo yote mubashara maana huyu ukimuomba detail ya mtu aipiti mwezi utazipata
Kuna watu wana asili ya UMBEA. hata kama kitu hakitamsaidia atajitahidi tu kufahamu kwa undani.Ahahhaa inawezekana unakaa kabisa kuhusu kuulizia habari za wanaume wenzio
Inasikitisha sanaKuna watu wana asili ya UMBEA. hata kama kitu hakitamsaidia atajitahidi tu kufahamu kwa undani.
Huu ni ugonjwa na aibu kubwa sana kwa Mwanaume.
cc AragonInasikitisha sana
kwa hayo maswali yako ni kwamba na wewe umeshakuwa MMBEYA maana hayo maswali yako ndio umbeya wenyewe huo jichunguzeSalute,
Binafsi sipendezwi sana na umbeya ambao huwa wanafanya Soudy na Kwisa lakini kwa bahati mbaya wifi yenu anakipenda sana hivyo kuna wakati najikuta naangalia kilazima.
Nimekuwa na hamu sana ya kufahamu hawa vijana wakiwa mtaani ni vijana wa aina gani? wanaishi wapi? wakiwa mtaani wanashinda na watu wa aina gani? ni walevi? wavutaji? wamejenga? wana magari?
Kifupi ni kwamba wanaishi ishi vipi wakiwa huko mtaani?
Labda wifi yake!Wifi yetu?[emoji35]
NIKwisa tunakaa nae huku ushuan soudy anakaa nae ushuan hko mjini na kwisa ni mzee wa kijamaika sana. Note:waache watafute ugal kwa jins walivochagua usitake kujua wanakaa wapi
yaah umeona mkuu ndo hivo miwan inahusika sasaNI
KWISA NI MZEE WA KIJAMAIKA SANA-Hii maana yake ni anapenda jani la ARACHUGA SANA nini? ndio maana miwani mieusi usiku kitu kinakuwa kimekolea