Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kwan alikua ana watoto kumbekwahyo watoto wote wawili ni w boss ruge kwan
boss hujui hilo mpka leo alikuwa na watoto tena wa 2 wa boss ruge mtahabaKwan alikua ana watoto kumbe
Tambua si kila mtu anafuatiliwa na watu .
Wanajamvi leo picha za harusi ya Zamaradi Mketema aliyekuwa mpenzi wa Ruge bosi wa Clouds media akiolewa na bwana mwingine zimeenea mtandaoni.
Cha ajabu nimezungukia page za vijana wa kunyapia Soudy Brown na mwenzie sijaona habari za kunyapianyapia. Kweli nimeamini hakuna uhuru wa habari bali kuna uhuru wa mwenye chombo hivi kweli angekuwa ameolewa staa mwingine yeyote kwa siri namna hii hii ingekuwa habari kubwa sana kwa shilawadu clouds na akina Millard Ayo waki speculate sasa wote kimya.
Duh! Nilikua sulitambui hilo mkuu kweli mapenzi yana siri kubwaboss hujui hilo mpka leo alikuwa na watoto tena wa 2 wa boss ruge mtahaba
Yaaaapkwahyo watoto wote wawili ni w boss ruge kwan
Mkuu huyu mbona fomous sana na vip ruge kuna asie mjua???Tambua si kila mtu anafuatiliwa na watu .
Huyo Zamaradi anajulikana na watu wachache sana kwa hiyo hata habari zake hazileti msisimko.
Hapo wangekuwa mastaa kama Wema ,Jokate ,Lulu,Mobeto hizo habari ungezipata Mubashara.
Nimecheka.bachela Wa kudumu ruge sio.na le mutuz aitweje? Maana na yeye ameshaachana na fiance wake Yule msomibachela wa kudumu
Wapo wengi tu hawamjui Ruge.Mkuu huyu mbona fomous sana na vip ruge kuna asie mjua???