Africasana
Member
- Mar 11, 2020
- 14
- 21
Habari wanajamvi wenzangu!!
Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe, ni mara ya pili nimerudi kwenu
Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 30, mrefu kiasi, mweusi kawaida.
Elimu yangu ni Shahada lkn sijabahatika kupata kazi, hivo najishughulisha na biashara za kawaida. Naishi Mwanza
Nipo hapa kutafuta mwenza ambae yupo serious na anaejua nini maana ya maisha.
Awe na umri usiopungua miaka 22 na usiozidi 31
Asiwe mlevi (bora awe mnywaji ila sio mlevi)
Awe anaishi Mwanza au mikoa iliyopo karibu na Mwanza itakua vizuri zaidi, awe na hofu ya Mungu
Mimi ni Mkristo, lakini dini kwangu sio kigezo hata kidogo. Kwa aliyepo tayari naomba aje DM au email zklevarist@gmail.com
Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe, ni mara ya pili nimerudi kwenu
Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 30, mrefu kiasi, mweusi kawaida.
Elimu yangu ni Shahada lkn sijabahatika kupata kazi, hivo najishughulisha na biashara za kawaida. Naishi Mwanza
Nipo hapa kutafuta mwenza ambae yupo serious na anaejua nini maana ya maisha.
Awe na umri usiopungua miaka 22 na usiozidi 31
Asiwe mlevi (bora awe mnywaji ila sio mlevi)
Awe anaishi Mwanza au mikoa iliyopo karibu na Mwanza itakua vizuri zaidi, awe na hofu ya Mungu
Mimi ni Mkristo, lakini dini kwangu sio kigezo hata kidogo. Kwa aliyepo tayari naomba aje DM au email zklevarist@gmail.com