Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
chanzo DW mchana wa leo
Pametokea mafuriko huko SA. Hali hiyo imepelekea nchi hiyo kukosa umeme kwa siku tatu mfululizo.
Kwa kuona na kwa kujali wananchi wake, raisi wa huko amekatisha ziara yake nje ya nchi kuja kuungana na wananchi wake kukabiliana na hali hiyo. Ametoa siku tatu kuikabili hali hiyo.
Hapa kwetu Rais aliwatukana waathirika wa tetemeko kule Bukoba, walikufa mapolisi 16 kule Mkiru hajaenda, kwenye ajali ya kivuko Mwanza hajaenda na kwingineko kwingi.
Huyu mzee wa uzinduzi ataenda kwenye tukio gani? Hao Watanzania wanaowajali ni kina nani?
Je ni wale wa kimara waliobomolewa nyumba?
Je ni wale wanafunzi waliokosa mikopo?
Je ni watumishio wa umma waliokosa fursa ya kupata mikopo ya vyua?
Pametokea mafuriko huko SA. Hali hiyo imepelekea nchi hiyo kukosa umeme kwa siku tatu mfululizo.
Kwa kuona na kwa kujali wananchi wake, raisi wa huko amekatisha ziara yake nje ya nchi kuja kuungana na wananchi wake kukabiliana na hali hiyo. Ametoa siku tatu kuikabili hali hiyo.
Hapa kwetu Rais aliwatukana waathirika wa tetemeko kule Bukoba, walikufa mapolisi 16 kule Mkiru hajaenda, kwenye ajali ya kivuko Mwanza hajaenda na kwingineko kwingi.
Huyu mzee wa uzinduzi ataenda kwenye tukio gani? Hao Watanzania wanaowajali ni kina nani?
Je ni wale wa kimara waliobomolewa nyumba?
Je ni wale wanafunzi waliokosa mikopo?
Je ni watumishio wa umma waliokosa fursa ya kupata mikopo ya vyua?