South Africa seizes their most respected African country, Tanzania's plane.

Naaam nimefurahi sana kujua kumbe unatambua kuna nchi RULE OF LAW inazingatiwa,case closed.
 
Naaam nimefurahi sana kujua kumbe unatambua kuna nchi RULE OF LAW inazingatiwa,case closed.
Mimi pia nimefurahi kuona kwamba serikali ya South Africa haipaswi kulaumiwa katika hili, huu ni uzembe wetu wenyewe ni lazima tuwajibishwe.
 
Exactly! Na linapokuja suala la utawala wa sheria na demokrasia, huwa nawaonea wivu sana SA kwa sababu kwa viwango vya Afrika, jamaa wapo mbali sana!
 
Yes ni mzungu, ulidhani ni mkikuyu?. Yeye ameenda mahakamani na akapewa AMRI ya kukamata Mali yoyote ya Tanzania.
Hivi serikali ya Afrika Kusini inaongozwa na mzungu? Nilijua wewe ni mbumbumbu ila sii kiasi hii.
 
Hivi serikali ya Afrika Kusini inaongozwa na mzungu? Nilijua wewe ni mbumbumbu ila sii kiasi hii.
Kwani MAHAKAMA ni serikali?, unadhani South Afrika ni banana republic kama Kenya ambapo Serikali inaweza kuingilia maamuzi ya MAHAKAMA?, hadi Leo Miguna Miguna amekataliwa kurudi Kenya kinyume na Amri ya MAHAKAMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…