Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Ndio mpira, na tukumbuke spain ndio timu bora duniani. Big up SA, next wanaweza fanya vizuri zaidi.
Thanks kwa wachangiaji kutujalia matokeo manake TBC1 wametukata stimu wapenzi wa mpira kwa kuacha kuonyesha extra time wakati wengine tuko bush.
Thanks kwa wachangiaji kutujalia matokeo manake TBC1 wametukata stimu wapenzi wa mpira kwa kuacha kuonyesha extra time wakati wengine tuko bush.